- Yaani huyu Rais bwana ninamuonea huruma sana, akibembea makosa, akienda msibani makosa, akisafiri kutafuta misaada makosa, akicheka ooh ni mnyonge, akikasirika ohh muongo, sasa hata kupewa jezi ni breaking news na kuna utata jinsi alivyopewa! Sijui ndio maana ya vyama vingi, loh! huruma kweli hili taifa.
- Ohhh Tanzania, an information starved nation!
FMEs!