Rais wangu JK soma methali hizi

DOMA

JF-Expert Member
Mar 17, 2011
944
365
1.Wenye haki wakiwa na amri watu hufurahi bali mwovu atawalapo watu huugua
2.mwenye kutawala akisikiliza uongo, watumishi wake wote watakuwa waovu
3.Kiongozi aliyepungukiwa na akili huwaonea watu sana bali achukiaye kutamani ataongeza siku zake
4.Kiongozi huithibitisha nchi kwa hukumu bali apokeaye rushwa huipindua
5.kiongozi mwenye haki huangalia madai ya maskini bali kiongozi mbaya hana ufahamu hata ayajue
6. Kiongozi aliye dhalimu ni chukizo kwa wenye haki bali mnyofu wa mwenendo ni chukizo kwa waovu
 
1.Wenye haki wakiwa na amri watu hufurahi bali mwovu atawalapo watu huugua
2.mwenye kutawala akisikiliza uongo, watumishi wake wote watakuwa waovu
3.Kiongozi aliyepungukiwa na akili huwaonea watu sana bali achukiaye kutamani ataongeza siku zake
4.Kiongozi huithibitisha nchi kwa hukumu bali apokeaye rushwa huipindua
5.kiongozi mwenye haki huangalia madai ya maskini bali kiongozi mbaya hana ufahamu hata ayajue
6. Kiongozi aliye dhalimu ni chukizo kwa wenye haki bali mnyofu wa mwenendo ni chukizo kwa waovu

Hata akisoma hawezi zielewa. Mkuu hapa ni kama unampigia kuku kinanda. Yale yale ya Mwanaaisha!
 
Back
Top Bottom