Rais wa Zimbabwe Mh. Emmerson Zambudzo Mnanganwa kupitia ukurasa wake wa Facebook ametangaza tarehe 15/06/2020 kuwa siku ya maombi kwa nchi yake

Redpanther

JF-Expert Member
Feb 23, 2019
2,813
3,768
Rais wa Zimbabwe Mh. Emmerson Zambudzo Mnanganwa kupitia ukurasa wake wa Facebook ametangaza tarehe 15/06/2020 kuwa siku ya maombi kwa nchi yake ili Mungu aiepushe zimbabwe dhidi ya janga hili la Covid-19 ambayo linaisumbua dunia.

Basi Tuseme, Jiwe litabaki kuwa Jiwe. 2020
 
Basi hiyo account itakuwa fb wanaifuatilia ili waifabyie verification
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…