Redpanther
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 2,813
- 3,765
Rais wa Zimbabwe Mh. Emmerson Zambudzo Mnanganwa kupitia ukurasa wake wa Facebook ametangaza tarehe 15/06/2020 kuwa siku ya maombi kwa nchi yake ili Mungu aiepushe zimbabwe dhidi ya janga hili la Covid-19 ambayo linaisumbua dunia.
Basi Tuseme, Jiwe litabaki kuwa Jiwe. 2020
Basi Tuseme, Jiwe litabaki kuwa Jiwe. 2020