Rais wa Zanzibar 'Hataki Muungano'

Ni Mimi Msiogope

JF-Expert Member
May 28, 2012
352
200
Kuna taarifa za kuaminika kuwa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Hakuhudhuria vikao vitatu mfululizo vya Baraza la Mawaziri na hivyo kitendo cha kiti chake kutanda utando wa buibui kinaashiria kuwa hakubaliani na Baadhi ya mambo yanavyoendeshwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ikiwa ni haswa namna suala la Muungano linavyochukuliwa na Rais Kikwete.
 
aanzishe jamhuri yake ya Zanzibar. hakuka atakayehangaika nae/nao!
 
aanzishe jamhuri yake ya Zanzibar. hakuka atakayehangaika nae/nao!

Kweli lakini me naona kama wanachelewa tu kujitangazia uhuru wao manake kwani kuna Wanajeshi wangapi wa Tanganyika kule? Au kuna askari wangapi wa FFU kule?..
Atangaze tu ili Wazanzibari wawe Huru kulikoni kuendelea kutwangana bila faida.
 
Shein hataki Muungano, no sidhani, nafikiri yuko busy kuijenga Zanzibar, jamaa sio mswahili kama mk.wele wetu, labda pia yuko busy kuimarisha ndoa na CUF
 
Shein hataki Muungano, no sidhani, nafikiri yuko busy kuijenga Zanzibar, jamaa sio mswahili kama mk.wele wetu, labda pia yuko busy kuimarisha ndoa na CUF
Hana mpango na Muungano.
Hana hamu na mafisadi ya Tanganyika
 
Sio Raisi tu ,wengi sana hawautaki Muungano ,si umesikia mbinu za kuanza kuzirudisha kadi za CCM ? Nadhani umewahi kusikia kitu kinaitwa MASTERMIND ,sasa hiyo ya urudishaji wa kadi imo katika hiyo masterplan ya kuusika muhungano.
 
Sio Raisi tu ,wengi sana hawautaki Muungano ,si umesikia mbinu za kuanza kuzirudisha kadi za CCM ? Nadhani umewahi kusikia kitu kinaitwa MASTERMIND ,sasa hiyo ya urudishaji wa kadi imo katika hiyo masterplan ya kuusika muhungano.

Hiyo Masterplan ni Unique
 
Huu muungano usipovunjika kipindindi hiki cha utawala huu! Hautavunjika tena!!!
 
Huu muungano usipovunjika kipindindi hiki cha utawala huu! Hautavunjika tena!!!

Mambu talatibu ,wala ayataki pupa ,kama si leo kesho lakini tupo njiani twaelekea mwisho wa Muungano.
 
Kuna taarifa za kuaminika kuwa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Hakuhudhuria vikao vitatu mfululizo vya Baraza la Mawaziri na hivyo kitendo cha kiti chake kutanda utando wa buibui kinaashiria kuwa hakubaliani na Baadhi ya mambo yanavyoendeshwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ikiwa ni haswa namna suala la Muungano linavyochukuliwa na Rais Kikwete.

Hapana anapenda Muungano; Wangemuomba arudishe Kadi ya CCM; kama walivyomuomba Karume arudishe kadi

Yeye na Mmoja ya Waziri aliyesema anataka Muungano sio wa kikatiba; Kamati kuu ya CCM Zanzibar ndio imeomba hizo

Kadi za CCM back
 
Dr. Shein bado yuko kwenye FUNGATE. Inaelekea Bibi harusi hampi nafasi ya kupumua. Muacheni Shein wa watu afaidi ndoa yake kwani bado changa, Mahaba sasa hivi ni motomoto!
 
Back
Top Bottom