Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 8,962
- 6,906
Sio dhambi kumuelezea kwa jinsi anavyomjua. Watu watajitokeza kama anasema uongo.Jamaa wee ndo Mkoba nn mbona unamtetea sana au chawa wake?
Amandla...
Sio dhambi kumuelezea kwa jinsi anavyomjua. Watu watajitokeza kama anasema uongo.Jamaa wee ndo Mkoba nn mbona unamtetea sana au chawa wake?
Mimi siyo Mkoba na wala yeye hanifahamu ila nimekuwa karibu sana na watumishi wa kada ya ualimu hasa ktk kipindi yeye alipokuwa Rais hasa ndani ya cwt ya wakati huo na siyo hii ya sasa iliyotekwa.Jamaa wee ndo Mkoba nn mbona unamtetea sana au chawa wake?
Umeuliza swali kabambe sana , ila subiri kwanzaAmekuwa mwanachama wa Chadema kwa muda gani?
Amandla...
Hapo nyerere kakosekanaje hapo
Kuna sehemu umeona CHADEMA wakifurahia? Pili huyo jamaa bado hajashinda huo uchaguziCHADEMA akili zenu mnazijuwa ninyi wenyewe na wakati ambapo zinashika mtandao mnajuwa wenyewe.ninyi si mlisema walimu wanatumika na kutumiwa na CCM? Si mlisema kuwa walimu siyo watu wa kuwaamini na hawafai kabisa hata kupewa jukumu la kusimamia uchaguzi kwa kuwa hawajitambui na wanafuata maagizo ya CCM? Si kila siku mnawatukana walimu? Sasa inakuwaje leo mnatoa meno yenu nje nje kwa kufurahia kigogo huyo kuwa chamani kwenu?
Aliyewaiteni ninyi nyumbu hakukosea hata kidogo.
😆😆😆😆Kuna sehemu umeona CHADEMA wakifurahia? Pili huyo jamaa bado hajashinda huo uchaguzi
Si mlisema waalimu wanatumika kuwaibia kura zenu, vp sasa mbona mnachukuwa wezi?
Au ndo yale yale ya 2015 mlimponda Lowassa na bado mkamnunua aje agombee urais?
Shida na kutoaminika kwa walimu huwa ni pale wanapokuwa kwenye ajira zao rasmi na mwajiri wao akiwa huyu anayejiita "serikali ya CCM"...CHADEMA akili zenu mnazijuwa ninyi wenyewe na wakati ambapo zinashika mtandao mnajuwa wenyewe.ninyi si mlisema walimu wanatumika na kutumiwa na CCM? Si mlisema kuwa walimu siyo watu wa kuwaamini na hawafai kabisa hata kupewa jukumu la kusimamia uchaguzi kwa kuwa hawajitambui na wanafuata maagizo ya CCM? Si kila siku mnawatukana walimu? Sasa inakuwaje leo mnatoa meno yenu nje nje kwa kufurahia kigogo huyo kuwa chamani kwenu?
Aliyewaiteni ninyi nyumbu hakukosea hata kidogo.