Rais wa wanyonge mbona huwa haendi kuwazika wanyonge kama wa Bukoba, Ukerewe, Zanzibar, Luck Vicent ila uzinduzi hakosi

Taarifa ya leo maiti zilizopatikana ni 224 kwa mawazo yangu duni ni busara kwa kiongozi wa nchi kuhudhuria hata kama ni kuja kuzika na kurudi ni lazima tuwe na vipaumbele majonzi yaliyoko Mwanza ni makubwa mno, ila uwepo wa Mkuu ungeongeza faraja!
 
Yaani, hata kuzika aende akazike au sio, kuna kitu ambacho watanzania hatutakijadili, hata kuzika nayo ni utawala bora? Duh kweli watz tunahitaji dikteta
 
Ivi hamjamsoma tu huyu si mwenzetu..
Rwandese
ndio maana haoni tatizo kuvuruga uchumi na amani ya tanzania..
hata haguswi na maisha ya watz ndio maana alisema "nafuu njaa ikuuwe kuliko mimi nikuletee chakula"
watanzania wanatekwa na kupotea yupo kimya..
watanzania wamepigwa risasi hovyohovyo !
a foreigner ruling abroad !
Yah bora njaa ikuue kuliko uletewe chakula, unaambiwa anayekujali ni yule anayekufundisha kulima sio kukuletea chakula maana anakumaliza huku unashiba
 
Kiongozi sio lazima awepo kila wakati. Ndio maana waziri mkuu yupo. Uwepo wake ungetia hamasa zaidi na kuonesha kujali INGAWA pia usingebadili chochote zaidi ya kuongeza gharama.

Pia, kuna watu wengine kwa asili hawawezi stahimili hali kama ile, huenda wakaumia sana na hata kusababisha matatizo ya kiafya.
Mbona j.k muda wote alihudhuria?
 
Kiongozi sio lazima awepo kila wakati. Ndio maana waziri mkuu yupo. Uwepo wake ungetia hamasa zaidi na kuonesha kujali INGAWA pia usingebadili chochote zaidi ya kuongeza gharama.

Pia, kuna watu wengine kwa asili hawawezi stahimili hali kama ile, huenda wakaumia sana na hata kusababisha matatizo ya kiafya.
Mbona kwa dada alienda
 
Back
Top Bottom