ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,076
- 49,785
Viongozi wa Nchi ya Ujerumani wataanza ziara rasmi za kiserikali barani Afrika wakilenga kukuza biashara, uwekezaji, maendelea na usalama na Bara La Afrika.
Kansela Olaf Schoz atatembelea Nigeria na Ghana huku Rais Frank Volt Steinmeier akitembelea Tanzania na Zambia ambapo pamoja na mambo mengine ataambatana na ujumbe wa wafanyabiashara.
View: https://twitter.com/SuphianJuma/status/1718555400801271942?t=leI7A56edlbtmlcp4YBRWw&s=19
My Take
Tanzania chini ya Samia inaibuk Kama Taifa lenye ushawishi mkubwa Kwa Dunia kiasi kwamba Viongozi wa Dunia wanaigombea Kama mpira.
Kansela Olaf Schoz atatembelea Nigeria na Ghana huku Rais Frank Volt Steinmeier akitembelea Tanzania na Zambia ambapo pamoja na mambo mengine ataambatana na ujumbe wa wafanyabiashara.
View: https://twitter.com/SuphianJuma/status/1718555400801271942?t=leI7A56edlbtmlcp4YBRWw&s=19
Germany seeks investment boost in Africa – DW – 10/29/2023
Germany's top leaders are visiting Nigeria, Ghana, Tanzania and Zambia to cement business ties and discuss new investment opportunities.
www.dw.com
My Take
Tanzania chini ya Samia inaibuk Kama Taifa lenye ushawishi mkubwa Kwa Dunia kiasi kwamba Viongozi wa Dunia wanaigombea Kama mpira.