Quinine Mwitu
JF-Expert Member
- Oct 19, 2014
- 5,267
- 5,665
Usinge kuwepo usingejadiliwa hapaMadhara ya uwepo au kutokuwepo?
Yaah kutoruhusiwa kuowa inawafanya maradhi ya nafsi yanapitiliza. Unakuta wengine wanabaka watoto nk nkMimi naona kuepudha haya yote kanisa lianze utaratibu wa watawa kuoa na kuolewa tu...ijulikane kila mtu ana mume / mke wake
Mungu hadhihakiwi bora waoe iwe wazi kuliko kutokuoa au kutokuolewa halafu wanafanya mambo ya ajabu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ndio iwe asilimia tisini?Ambao ni mashoga ni makosa yao binafsi si msimamo wa Kanisa Katoliki. Hata walioko kwenye ndoa wanabaka, ni mashoga, wanalawiti, Wana vimada, wanachepuka ila hayo pia ni makosa yao binafsi si msimamo wa ndoa.
Umeona ee. .....Nina imani wangewaruhusu kuoa na kuolewa labda labda tatizo lingepungua maana yote haya wanafanya baada ya kuwaka tamaa....na ukizingatia muda mwingi wanakuwa na wanaume wenzao na wale wavulana wanaotumikia ndiyo yanaanza kuja mawazo ya kulawitiana.Yaah kutoruhusiwa kuowa inawafanya maradhi ya nafsi yanapitiliza. Unakuta wengine wanabaka watoto nk nk
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora kuwa gaidi kuliko shoga.Ila ugaidi ndio msimamo wa uislam sio?
Rais wa Ufilipino amelitaka kanisa katoliki nchini Italy kuruhusu mapadri wake kote ulimwenguni waruhhsiwe kutafta wanaume wa kuwaoa maana wengi ni mashoga hvyo wanapswa kua na wanaume.
Soma mwenyewe hapa toka RT News.
‘Most of them are gay’: Duterte urges Vatican to allow its ‘useless’ priests to have boyfriends
Mwezi uliopita Durteete alisema 90% ya mapadri wote Duniani ni mashoga akamtaka papa aruhusu mapadri wawe huru kua na wanaume wao maana kujificha au kuficha tatizo ndio kunachangia zaidi ushoga kwa mapadri.
Duterte: Almost 90% of Catholic priests are homosexuals
Rais wa Ufilipino amelitaka kanisa katoliki nchini Italy kuruhusu mapadri wake kote ulimwenguni waruhhsiwe kutafta wanaume wa kuwaoa maana wengi ni mashoga hvyo wanapswa kua na wanaume.
Soma mwenyewe hapa toka RT News.
‘Most of them are gay’: Duterte urges Vatican to allow its ‘useless’ priests to have boyfriends
Mwezi uliopita Durteete alisema 90% ya mapadri wote Duniani ni mashoga akamtaka papa aruhusu mapadri wawe huru kua na wanaume wao maana kujificha au kuficha tatizo ndio kunachangia zaidi ushoga kwa mapadri.
Duterte: Almost 90% of Catholic priests are homosexuals
Morally the church questions him about his ways of governing Philippines. And the church is very powerful there. Anajitetea kwa hizo njia mbadala1. Anaweza kuwa anataka kueleza tatizo linalowakumba makasisi lakini njia anayopendekeza kumalizana na tatizo husika ndio njia ya kijinga kabisa katika kulimaliza. Huwezi kupendekeza njia inayokoleza tatizo. Hata nyakati za Yesu walikuwapo Makuhani waliokuwa wanakiuka maadili ya kazi zao lakini Yesu hakuwahi kupendekeza njia kama ya Durtete.
2. Pamoja na makasisi hao kuwa homosexual lakini bado ni watulivu, wapole,wavumilivu na walio tayari kusamehe. Kama Durtete anataka Dunia iwake moto basi atoe shutuma kama hizo kwa Waislamu. Hapo ndipo atajua kwamba kumbe kuna makuhani wanaume kweli kweli.
Ushoga na Ukatoliki ni Pete na Kidole vile vile Ushoga na wale wa Ijumaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Morally the church questions him about his ways of governing Philippines. And the church is very powerful there. Anajitetea kwa hizo njia mbadala
Uraisi Ufilipino hua ni muhula mmoja tu wa miaka 6, ukimaliza unastaafuYeye anasema waziwazi matatizo ya Kanisa lakini Kanisa litasema kwa njia ya Sanduku la Kura kimyakimya. Nina imani hataweza kurudi madarakani.