The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,321
- Thread starter
- #81
Hivi ni vitisho ambavyo vimepitwa na wakati. Ingekua hvyo basi wachina wangekua washakufa sana maana wao kitu kama hcho hakipo. North Korea, Vietnam, Burma na kwingineko.Kuna taasisi kubwa zinashikilia dunia.
Utatukana tukana weee kisha siku moja unaamka nywele za upande mmoja zimenyonyoka.
Miaka miwili mbele, kuhema hauwezi na wanaokupa tiba ni hizo taasisi.
Kisha unakufa.
Kanisa linazidi kupoteza ushawishi siku hadi siku. Mwisho kanisa itakua ni hadith za kizamani.