ketete
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 792
- 793
Kwa tafsiri ya haraka anajaribu kuonesha namna gani tatizo lilivyokubwa katika kanisaAmbao ni mashoga ni makosa yao binafsi si msimamo wa Kanisa Katoliki. Hata walioko kwenye ndoa wanabaka, ni mashoga, wanalawiti, Wana vimada, wanachepuka ila hayo pia ni makosa yao binafsi si msimamo wa ndoa.
Sent using Jamii Forums mobile app