Mtu akiwa na mke aliyemzidi umri watu wanawaza uyu jamaa anamgegedaje! Haswa sisi wanaume ndo wengi wetu tunawaza ivyo.
Ila mlishajiuliza labda uyo rais ana mapungufu yake na ndo maana akaamua kujificha kwa uyo bibi?
Labda aliona akioa kijana kama yeye atashindwa kumtuzia siri na nazani watu mnajua mambo ya siasa yalivyo na jamaa alifunga harusi na uyo bibi baada ya kuingia kwenye siasa japo walijuana kabla
Nimawazo yangu tu lakini.