x-Mikia FC player.Miaka yote niliyomfahamu Wilfred kidau ,sikua najua ni mrundi
x-Mikia FC player.Miaka yote niliyomfahamu Wilfred kidau ,sikua najua ni mrundi
acting Tifutifu.Kwani kwa sasa huyo Kidau anafanya Kazi gani /wapi?
Wanawagharimu nini ?Mkuu mkimbizi ni mkimbizi tu hata. kama angekuwa nchini tangu 1905. Watu wa aina hiyo ndiyo wanaotugharimu. Binafsi nampongeza cybercrime kwa kufanya udukuzi, ni mzalendo huyu
Huyo kidau amekua kwenye medani ya soka Leo ?? Tokea miaka na miaka namsikia kidau acheni kumzushia kariaNdio, ana asili ya Somalia mzazi mmoja. Na yeye anataka kiteua mwenye asili ya Burundi kuwa Katibu Mkuu. Isije kuwa ndio wanajipenyeza kupitia kwenye Soka.
Haiwezi kupita akilini bila kukushtua kidogo
Mbona wakati ana chezea timu ya Taifa hamjasema ni Mrundi?Tarehe 17/02/2018 katika Kikao cha Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Rais wa Shirikisho hilo , WALLACE KARIA anataraiia kumteua raia wa Burundi, KIDAO WILFRED kuwa Katibu Mkuu wa Shirikisho hilo. KIDAO ni raia wa Burundi aliyeingia nchini kama Mkimbizi akiwa na Wazazi wake Miaka ya 1980.
Pia Mpango huo wa KARIA ni kinyume cha taratibu za kujaza nafasi hiyo ambapo inatakiwa kutangazwa na kutoa fursa kwa Watanzania wenye sifa kuomba.
Makatibu wote wa TFF waliopita walipatikana kwa nafasi hiyo kutangazwa ambao ni FREDRICK MWAKALEBELA , ANGETILE OSIAH na MWESIGWA SELESTINE.
Aidha ili kuhakikisha wajumbe wa kamati ya utendaji wanapitisha jina la Kidao, Karia amepanga kutoa rushwa ya shillingi milioni tano kwa kila mjumbe.
Ndio hapo najiuliza hivyo siku zote walikua wapiMbona wakati ana chezea timu ya Taifa hamjasema ni Mrundi?
Tunachezea hatma ya Soka letu kiukweliYale yale, hawa TFF kichwa cha mwendawazimu kabisa..
Katibu Mkuu wa CCM naye ana rangi kama ya Karia! Acheni majungu, sote ni watz, tuijemge nchi yetuHuyu KARIA mwenyewe aliupataje huo urais wa tff? Maana inasemekana ni Msomali. Halafu nasikia anajilipa posho za safari hata kama safari hizo zinapaswa kulipwa na CAF au FIFA
Nchi hii shamba la bibi mwanzo, mwisho.Tarehe 17/02/2018 katika Kikao cha Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Rais wa Shirikisho hilo , WALLACE KARIA anataraiia kumteua raia wa Burundi, KIDAO WILFRED kuwa Katibu Mkuu wa Shirikisho hilo. KIDAO ni raia wa Burundi aliyeingia nchini kama Mkimbizi akiwa na Wazazi wake Miaka ya 1980.
Pia Mpango huo wa KARIA ni kinyume cha taratibu za kujaza nafasi hiyo ambapo inatakiwa kutangazwa na kutoa fursa kwa Watanzania wenye sifa kuomba.
Makatibu wote wa TFF waliopita walipatikana kwa nafasi hiyo kutangazwa ambao ni FREDRICK MWAKALEBELA , ANGETILE OSIAH na MWESIGWA SELESTINE.
Aidha ili kuhakikisha wajumbe wa kamati ya utendaji wanapitisha jina la Kidao, Karia amepanga kutoa rushwa ya shillingi milioni tano kwa kila mjumbe.
Hayo majungu tuu ya wa bongo mkuuNdio hapo najiuliza hivyo siku zote walikua wapi