Cybercrime
JF-Expert Member
- Feb 14, 2014
- 3,246
- 1,113
Tarehe 17/02/2018 katika Kikao cha Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Rais wa Shirikisho hilo , WALLACE KARIA anataraiia kumteua raia wa Burundi, KIDAO WILFRED kuwa Katibu Mkuu wa Shirikisho hilo. KIDAO ni raia wa Burundi aliyeingia nchini kama Mkimbizi akiwa na Wazazi wake Miaka ya 1980.
Pia Mpango huo wa KARIA ni kinyume cha taratibu za kujaza nafasi hiyo ambapo inatakiwa kutangazwa na kutoa fursa kwa Watanzania wenye sifa kuomba.
Makatibu wote wa TFF waliopita walipatikana kwa nafasi hiyo kutangazwa ambao ni FREDRICK MWAKALEBELA , ANGETILE OSIAH na MWESIGWA SELESTINE.
Aidha ili kuhakikisha wajumbe wa kamati ya utendaji wanapitisha jina la Kidao, Karia amepanga kutoa rushwa ya shillingi milioni tano kwa kila mjumbe.
Pia Mpango huo wa KARIA ni kinyume cha taratibu za kujaza nafasi hiyo ambapo inatakiwa kutangazwa na kutoa fursa kwa Watanzania wenye sifa kuomba.
Makatibu wote wa TFF waliopita walipatikana kwa nafasi hiyo kutangazwa ambao ni FREDRICK MWAKALEBELA , ANGETILE OSIAH na MWESIGWA SELESTINE.
Aidha ili kuhakikisha wajumbe wa kamati ya utendaji wanapitisha jina la Kidao, Karia amepanga kutoa rushwa ya shillingi milioni tano kwa kila mjumbe.