TEMLO DA VINCA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 3,054
- 3,312
Mdukuzi huyo anajua weak points ndio maana hataki hayo masmart phone yenu hahagaaa
Kutokana na historia yake katika ujasusi Putin anafahamu kuwa matumizi ya simu janja.. Majokofu janja (smart refrigerator).. Runinga janja (smart tv).. Chipsets.. Operating systems.. Ndege zenye components toka nje ya Urusi… GPS.. Genetically modified foods… etc ni hatari kwa urusi kama taifa na yeye kama raisi.. Na ndo maana operating systems katika serikali na mifumo ya kijeshi ya Urusi si windows au iOS.. Ndo maana hawatumii GPS wanatumia mbadala unaitwa GLONAS.. ndo maana maafisa wa vitengo nyeti hawaruhusiwi kutumia iphones au androids (wana za kwako zinaitwa yotaphone).. Hawatumii antivirus zilizotengenezwa nje ya Urusi… ndege za raisi na viongozi muhimu zinatengenezwa na vifaa asilimia mia moja toka Urusi.. Ndo maana hawaruhusu vyakula GMO Urusi..
Katerina Tikhonova - WikipediaHuyo wajina wako katisha kama hata watoto wake haijulikani wako wapi na wanafaya ishu gani ila nakumbuka mke wake waliachana.
Hivi punde Kama ni kweli basi ameingia kwenye kumbukumbu ya mtu wa ajabu duniani karne hii!
Huyo ni zaidi ya jasusiHaaaa mkuu yaaan nmeandika huu Uzi kuhusu Putin nikausev ... Kumbe sote tulikua katika mawazo sawa!!.
Vizuri,, imenibidi nifatilie sana hii kitu ,nikagundua haya
Putin ndo Rais asokua na Account yoyote ile kwenye mitandao yakijamii.
Mke wake +watoto hamna anayemiliki account yoyote mitandaoni ... Watoto Wa Putin mpaka leo hawajulikan kabisa wapo wapi ? Wanafananaje ? Wanasomea nn? Wanafanya nn?? Hawajulikani !!.
PUTIN anaogopa hizi simu kwasababu wamarekan wanakawaida ya kuzhack kama walivyofanya kwa Bi Angela Wa Germany , lkn pia Wakat Rais Wa Russia ni Medvedev , walijarbu kuhack simu yake, kwabahat mbaya wakashindwa kuvuruga ulinzi ulowekwa kwa simu ya Jamaa !!.
Putin ansema "Hata simu ya nyumban inapoita huwa siipokei ,naacha inaliaaa tu".
Inadaiwa kua ,anapoitaj kuwasiliana ,huwa anatumia simu za watu wake tofauti tofauti !!.
Sawa edwardMwongo
technologia anayoogopa ni video za ebitoke shilawadu na instagram mambo ya zariKuogopa teknolojia ni tatizo la kisaikolojia hujulikana kama technophobia
aim ni hamiliki simuHujawahi ila ukihitaji kitu unamuuliza mwenye smart phone? Punguwani