ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,568
- 44,786
Yuko live mida hii Washington DC Akiutangazia umma wa U.S kwamba ame recovery ugonjwa wa corona.anashukuru kwa maombi amewataka watu waendelee kuchukua tahadhari ili kupunguza kuenea kwa virus vipya vya covid-19 amesema japo wengi wetu tutaendelea kuugua Corona pamoja na kuchukua tahadhari.ameongeza kwa kusema watu waondoe wasiwasi na hofu.vifo vingi vingeweza kuzuiwa Kama watu wangepima na kupigwa booster baada ya chanjo.
Anasema kuanzia leo watu wote wa marekani watapimwa covid Bure bila kutoa hata dollar moja.biden ataendelea kuwa karantini chini ya uangalizi maalumu.
Pia soma: #COVID19 - Rais wa Marekani, Joe Biden akutwa na maambukizi ya COVID-19
Anasema kuanzia leo watu wote wa marekani watapimwa covid Bure bila kutoa hata dollar moja.biden ataendelea kuwa karantini chini ya uangalizi maalumu.
Pia soma: #COVID19 - Rais wa Marekani, Joe Biden akutwa na maambukizi ya COVID-19