under_score
Senior Member
- Nov 2, 2011
- 190
- 45
Wakuu,
Mimi huwa napata shida na jinsi huyu mkuu wa nchi anavyolitumia hili neno 'selathini" kumaanisha "thelathini", yaani (30), au wadau wa lugha nyi mnasemaje ...
Nawasilisha.
Mimi huwa napata shida na jinsi huyu mkuu wa nchi anavyolitumia hili neno 'selathini" kumaanisha "thelathini", yaani (30), au wadau wa lugha nyi mnasemaje ...
Nawasilisha.