Kilaji kikiendekezwa hakijawahi mwacha mtu salama; at some point ni lazima utie aibu tu usipokuwa na self-control ya haya mavitu.
Jamaa anajulikana chapombe sana ktk gala / dinner party
Published on 28 May 2015
The President of the European Commission, Jean-Claude Juncker, was bitch slapping EU leaders, calling Hungarian PM 'dictator' in front of the press at the EU-Eastern Partnership summit in Latvia.
Dunia inabadirika, waafrika wanakuwa serious wakati wazungu wanafanya mambo ya ajabuYani huyu kalewa na bado kaingia kwenye kikao,Africa kamishna kachelewa dakika 1 kapigwa fedhea yakufamtu.