Wanatakiwa pia waonyeshe "live" maandamano ya CHADEMA kesho.
Waandamanaji ndio walipa kodi!
Bila kodi zetu TBC 1 isingekuwepo.
Wanatakiwa pia waonyeshe "live" maandamano ya CHADEMA kesho.
Waandamanaji ndio walipa kodi!
Bila kodi zetu TBC 1 isingekuwepo.
big logic! Big up
Akitoka hapa ataenda DRC.Ktk dunia nchi ambazo zina untapped resources ya kwanza DRC,pili TANZANIA.na hiyo ndiyo target ya wachina
Hivi hiyo mikataba 19 ni ipi mbona hamna hata kiongozi mmoja aliyejitokeza kuiongelea zaidi ya bandari ya Bagamoyo au na siye ndio tunauzwa hivi watu wanaoshabikia ujio wa Jinping wanajua undani wake au wanashabikia tu baadaye wanaanza kulalamikia mikataba mibovu
Akitoka hapa ataenda DRC.Ktk dunia nchi ambazo zina untapped resources ya kwanza DRC,pili TANZANIA.na hiyo ndiyo target ya wachina