tatanyengo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 1,134
- 280
Rais Jakaya KIkwete amesema kuanzia sasa sheria ya ujenzi isifuatwe kwa wale wanaojenga nyumba maeneo ya milimani kwa kuwa maeneo hayo ni finyu.
Maoni yangu: Yawezekana Rais akawa na hoja lakini utaratibu wa kutengua/kubadilisha sheria unapaswa kuzingatiwa.
Source: Jambo Leo
Maoni yangu: Yawezekana Rais akawa na hoja lakini utaratibu wa kutengua/kubadilisha sheria unapaswa kuzingatiwa.
Source: Jambo Leo