nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,929
Huyu mkuu wa wilaya ya Kilosa ndg Mgoyi, ni mjivuni kwelikweli Anafanya anavyotaka wala hajali watu wa wilaya hiyo.
Anachukua ardhi za wakulima bila ridhaa yao. Watu wanalalamika yeye Hana habari nao. Mh Rais nakumbuka ulipokwenda kilosa, ulikuta ana kashfa ya kupora ekari 300 kwenye shamba la mkonge Kimamba ulilofuta hati ya muwekezaji ili wagawiwe wananchi,lakini ulimsamehe na kumataka ajisahihishe.
Bwana yule kwasasa ana mashamba ya mpunga Kilangali na Mvumi kwa maekari.
Wananchi wanakodishwa lakini yeye ana hodhi mamia ya maekari.
Yapo mengi anayafanya kinyume na maadili ya utumishi wa umma.
Yupo afisa tarafa Dumila anaitwa Nchimbi huyo ndiye mtumishi wake na siyo wa umma.
Anachukua ardhi za wakulima bila ridhaa yao. Watu wanalalamika yeye Hana habari nao. Mh Rais nakumbuka ulipokwenda kilosa, ulikuta ana kashfa ya kupora ekari 300 kwenye shamba la mkonge Kimamba ulilofuta hati ya muwekezaji ili wagawiwe wananchi,lakini ulimsamehe na kumataka ajisahihishe.
Bwana yule kwasasa ana mashamba ya mpunga Kilangali na Mvumi kwa maekari.
Wananchi wanakodishwa lakini yeye ana hodhi mamia ya maekari.
Yapo mengi anayafanya kinyume na maadili ya utumishi wa umma.
Yupo afisa tarafa Dumila anaitwa Nchimbi huyo ndiye mtumishi wake na siyo wa umma.