harakati za siri
JF-Expert Member
- Aug 23, 2020
- 933
- 2,542
Hebu tukumbushe mwamba aliuvunjaje, last time i checked Makonda aliondoka akielelekea Kigamboni ubungeni
Kivipi brazaKilosa ni wilaya iliyolaaniwa
Naomba nipmHebu tukumbushe mwamba aliuvunjaje, last time i checked Makonda aliondoka akielelekea Kigamboni ubungeni
Unatetea bila point zenye nguvuKama i
Kama kilosa inakaliwa na watu mmejaa majungu kama wewe lazima iporomoke tu. Mtu anajiongeza anawekeza kwenye kilimo na anatoa ajira kibao wewe unaombea atumbuliwe. Kwa nini kilosa isife?
Unatetea bila point zenye nguvuKama i
Kama kilosa inakaliwa na watu mmejaa majungu kama wewe lazima iporomoke tu. Mtu anajiongeza anawekeza kwenye kilimo na anatoa ajira kibao wewe unaombea atumbuliwe. Kwa nini kilosa isife?
Kwajinsi alivyokuwa mwana ulitegemea mpaka Leo makonda asiwepo kwenye system?Naomba nipm
MAJUNGU pro maxHuyu mkuu wa wilaya ya Kilosa ndg Mgoyi, ni mjivuni kwelikweli Anafanya anavyotaka wala hajali watu wa wilaya hiyo.
Anachukua ardhi za wakulima bila ridhaa yao. Watu wanalalamika yeye Hana habari nao. Mh Rais nakumbuka ulipokwenda kilosa, ulikuta ana kashfa ya kupora ekari 300 kwenye shamba la mkonge Kimamba ulilofuta hati ya muwekezaji ili wagawiwe wananchi,lakini ulimsamehe na kumataka ajisahihishe.
Bwana yule kwasasa ana mashamba ya mpunga Kilangali na Mvumi kwa maekari.
Wananchi wanakodishwa lakini yeye ana hodhi mamia ya maekari.
Yapo mengi anayafanya kinyume na maadili ya utumishi wa umma.
Yupo afisa tarafa Dumila anaitwa Nchimbi huyo ndiye mtumishi wake na siyo wa umma.
Mpaka kule kwa wale wamasai umefika!basi nakuvulia kofia...Parakuyo huko, nimekula Sana mbuzi
Hata Twatwatwa nimevurugaMpaka kule kwa wale wamasai umefika!basi nakuvulia kofia...
We kiboko,niliwahi kupiga kambi pale Mkata kipindi flani kwahiyo nayajua kiasi yale maeneo...Hata Twatwatwa nimevuruga
Wamezunguukwa na maji kila kona, idadi ya watu Morogoro haiendani na ukubwa wa ardhi yao, wana ardhi kubwa mno, uwezo wao wa kufanya kazi ni finyu.Wanapenda majungu badala ya kufanya kazi
Wewe unashiba pamoja na wazazi wako kupitia hao unaowatetea na kuwalamba makalio.Acha majungu Fanya kazi Kwa bidii baba
Ivi unatumia akili kweli?Sasa lipi bora, mtu kaamua kulima kwa kufuata sheria na vigezo. Nyinyi mnakimbilia mitandaoni kujaza FITNA.amejiandaa vizuri kisaikolojia ili hata akitenguliwa maisha yake kama mtanzania yaendelee.
Tatizo liko wapi kama anapitia njia halali?
Huyo
Kidhurumu ardhi ya wanyonge siyo kukiuka masharti?Bashite alikiuka masharti
Ondoa ujinga wako hapa, anaruhusiwa kiwango chochote kulima, hoja hapa anapataje ardhi.Kama i
Kama kilosa inakaliwa na watu mmejaa majungu kama wewe lazima iporomoke tu. Mtu anajiongeza anawekeza kwenye kilimo na anatoa ajira kibao wewe unaombea atumbuliwe. Kwa nini kilosa isife?
Mkuu wameuharibu kwa namna gani?Kilosa ni miongoni mwa wilaya ambayo haiendelelei waarabu wameharibu sana mji ule,
Sio masharti hayoKidhurumu ardhi ya wanyonge siyo kukiuka masharti?