Rudi kwenye mada Mkuu na tupambane kwa hoja. Viroja havitakusaidia
Mkuu nilishakupuuza siku nyingi.Wewe huna hoja.Ninaheshimu sana wazee wangu.
Rudi kwenye mada Mkuu na tupambane kwa hoja. Viroja havitakusaidia
Mada za kipuuzi kutoka kwa Mpuuzi Crashwise
Mada za kipuuzi kutoka kwa Mpuuzi Crashwise
Kwani kwenye mjadala huu kuna mahala amechangia Makonda? Maana naona wengi mnamtaja pasi na sababuMakonda naomba nikufamishe mbinu chafu yenu nyingine nyie ccm kwanini Chadema wakishinda kila uchaguzi kwenye kutangazwa inakua shida sana? Mbinu yenu tumeshaijua
Mkuu Molemo, naona unateta na mwenzako hapo na mnaambulizana ujuha.
Sina haja ya kujibizana na kilaza. Wapuuzi wapo wengi ndani ya CHADEMAMpuzi ni wewe uliyepigwa chini ukavimba juu
Kamanda Molemo tumewashika hawa intarahamwe. Mkia wanatingisha kiuno tuuMatusi hayatakisaidia chama chako kinachokufa
Mbona heading na contents tofauti? Hapo kwenye hili bandiko wapi amani inahatarishwa? Kama kuna Mwenyekiti ameshinda na hajaapishwa, sheria inasemaje?
Wewe ndo waona hivyo. Ila CCM bado ipo Imara siku zoteCCM kwisha imebaki na vitisho.
Mkuu, na wewe umelewa ujinga wa akina Crashwise? Hivi nchi hii ina vitongoji, mitaa na vijiji vingapi? Na je huko kwingine walikoapishwa hakukuwa na mvutano wa kisiasa? Wakati mwingine muwe mnatumia akili na si kuunga tu mkono upuuzi wa CrashwiseJiulize kwanza kama kuna mtu wananchi wamemchagua halafu wakurugenzi wanakataa kumwapisha kwa kuwa tu ni wa cdm, amani inaendelea kuwepo!?
Rais hana muda wa kuhangaika na uchaguzi wa kitongoji.
Mkuu, na wewe umelewa ujinga wa akina Crashwise? Hivi nchi hii ina vitongoji, mitaa na vijiji vingapi? Na je huko kwingine walikoapishwa hakukuwa na mvutano wa kisiasa? Wakati mwingine muwe mnatumia akili na si kuunga tu mkono upuuzi wa Crashwise
Akili zilizopo kwenye Makalio hizoKwani kwenye mjadala huu kuna mahala amechangia Makonda? Maana naona wengi mnamtaja pasi na sababu
Wewe ndo waona hivyo. Ila CCM bado ipo Imara siku zote
Kwani kwenye mjadala huu kuna mahala amechangia Makonda? Maana naona wengi mnamtaja pasi na sababu
....... Wakati mwingine muwe mnatumia akili na si kuunga tu mkono upuuzi wa Crashwise
Mkuu, na wewe umelewa ujinga wa akina Crashwise? Hivi nchi hii ina vitongoji, mitaa na vijiji vingapi? Na je huko kwingine walikoapishwa hakukuwa na mvutano wa kisiasa? Wakati mwingine muwe mnatumia akili na si kuunga tu mkono upuuzi wa Crashwise
Sina haja ya kujibizana na kilaza. Wapuuzi wapo wengi ndani ya CHADEMA