Rais Uhuru Kenyatta akutana na Trump

Mmawia

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
121,947
95,237
Bado najiuliza hivi hali hii ingekuwaje kwa TBC kuona tukio kama hili?Rais Uhuru Kenyatta amekutana na Rais Donald Trump huko Taormina nchini Italia walipo kuwa wanaudhuria mkutano wa nchi za G 7 na kufanya mazungumzo mbalimbali.Kumbe kusafiri nje ya nchi ukiwa kiongozi mkuu kunasaidia kukutana na wakubwa wenzako
92431c87a061a738a53e6fbe7de85fd5.jpg
 
kabla ya kukurupuka kushusha lawama inabidi ujue kwanza Kenya wapo katika kipindi gani kwa sasa.
 
Tbc waliamua kucheza ngoma hata kabla wimbo haujaanza kuimbwa sembuse wimbo unaimbwa? Loooooooo! !!!
 
Umeanza vizur ukalimaliza kipopoma, kwa hiyo unataka asafirisafiri ili iweje? Umemiss Jakaya vpi
 
Hakuna kipindi cha kiongozi kwenda kukutana na viongozi wenzake wa dunia.Huo uchaguzi ndio una jambo gani la ajabu hadi rais asafiri?ingekuwa TBC ndiyo KBC wakenya wasingepata hata usingizi kwa kelele na mbwembwe
hapo kwenye hiyo picha TBC wanatamani waondoe picha ya rais wa Kenya waweke ya rais wa kwetu!
 
kabla ya kukurupuka kushusha lawama inabidi ujue kwanza Kenya wapo katika kipindi gani kwa sasa.
Huyo kaalikwa kwa sababu ya masuala ya wakimbizi na sio uchumi. Kusingekuwa na wakimbizi huko Kenya (Dadaab na Kakuma wamejaa wasomali) asingealikwa hata kidogo. Maraisi wengine toka Afrika nao wamealikwa kwa masuala hayo hayo.
 
Umeanza vizur ukalimaliza kipopoma, kwa hiyo unataka asafirisafiri ili iweje? Umemiss Jakaya vpi
Mkuu hawa watu ni wa kuwasamehe tu. Jakaya kapiga picha ngapi kama hizi na alikua rais wa kwanza wa Afrika kuonana na Obama, tuambie nini tumekipata kwa kwa sifa ile????
 
hao G7 hatuwataki maana kampuni za migodi zinazotuibia madini yetu zinatoka huko huko.
wachina ni matajiri sana, na mfalme wa Morocco atatujengea msikiti na uwanja wa mpira.tuna shida gani tena?
 
Huyo kaalikwa kwa sababu ya masuala ya wakimbizi na sio uchumi. Kusingekuwa na wakimbizi huko Kenya (Dadaab na Kakuma wamejaa wasomali) asingealikwa hata kidogo. Maraisi wengine toka Afrika nao wamealikwa kwa masuala hayo hayo.
Hongera zake mh Kenyatta
 
Mkuu hawa watu ni wa kuwasamehe tu. Jakaya kapiga picha ngapi kama hizi na alikua rais wa kwanza wa Afrika kuonana na Obama, tuambie nini tumekipata kwa kwa sifa ile????
Kumbe kupiga picha na Obama ni issue?
 
hao G7 hatuwataki maana kampuni za migodi zinazotuibia madini yetu zinatoka huko huko.
wachina ni matajiri sana, na mfalme wa Morocco atatujengea msikiti na uwanja wa mpira.tuna shida gani tena?
Teeeeeeeeeeeh teeeeeeeeeeeh teeeeeeeeeh umemsahau na kagame ni rafiki yetu atatusaidia watu wa IT
 
Ni maongezi tu.trump ameshasema hatosaidia waafrica
Kwa hyo hakuna cha maana hapo.
Ni kuuza sura tu.
 
Back
Top Bottom