Bandiwe
JF-Expert Member
- Oct 19, 2013
- 9,530
- 3,553
...swala.ya pamoja kwa utaratibu gani !?nisaidieni kwa mkristo inaruhusiwa kuingia msikitini na kuswali? je haiwezekani wakristo na waislam wakafanya swala ya pamoja mfano kuliombea taifa?
...swala.ya pamoja kwa utaratibu gani !?nisaidieni kwa mkristo inaruhusiwa kuingia msikitini na kuswali? je haiwezekani wakristo na waislam wakafanya swala ya pamoja mfano kuliombea taifa?
Kuna kuomba (duwa) na kuswali, ni vitu viwili tofauti ! Waislaam na wakiristo hawezi kuswali pamoja !Mbona iliwezekana juzi, kwenye hafla ya kuiombea taifa letu la Kenya. Kila mwaka huwa kuna National Prayer Breakfast na maombi, mahubiri ya kikristo, kiislamu na dini za jadi yote huwa yanafanywa kwa pamoja. Inawezekana, forward na uchambue chambue hiyo video hapo juu uone wakenya, wakristo kwa waisilamu, wakisali pamoja na kusomewa Qur'ani na Bibilia pia.
Fitr ameitambua Uhuru kama p/h imebakia al Ud'haHivi Kenya eid siyo public Holiday? Kama ni hivyo hamuwatendei haki waislam wa Kenya