let the caged bird sings
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 3,310
- 7,883
Hii ndiyo mentality ya mtu mweusi, tabu tupu.Kama mbwai na iwe mbwai. Akae aache na wengine waongoze ebooo!
Hii ndiyo mentality ya mtu mweusi, tabu tupu.Kama mbwai na iwe mbwai. Akae aache na wengine waongoze ebooo!
Hata kabla hajawai Rais, wenye maono walijua hafai kushika nafasi kubwa kama hiyo.Ruto bure kabisa,sasa vibunduki 28 vinaimpact gani katika maendeleo ya mkenya
Wewe ni mkenya? Kwanini unawatabiria mabaya wenzako? Waachwe wanajua namna ya kusimamia nchi yaoHaya mambo, mdogomdogo mwisho wa siku kinachipuka kikundi haramu.
Kuwa mstaafu hakumuondolei haki ya kutoa maoni yake.Kuna wastaafu wana viherehere japo wamemaliza kazi zao wanataka bado waongoze nchi kwa matakwa yao ile hali wamestaafu.
Kuwa mstaafu hakumuondolei haki ya kutoa maoni yake.
Upumbavu mlionao watanzania ndiyo mnataka na wakenya wauige.
Bure kabisa!
Huyu Ruto ninamkubali Sana kama MH.MAGUFULU TU R.I.P MAGUFULI naona slogan Yako Ruto anaifuata.Serikali ya Rais William Ruto imemuagiza Rais mstaafu Uhuru Kenyatta na familia yake kurejesha silaha zote wanazomiliki kama familia ya Kenyatta.
Familia hio inatarajiwa kurejesha jumla ya bunduki 28 wanazomiliki tangu enzi za babake mzazi Hayati Rais Jomo Kenyatta.
Lakini pia naona Ruto akijiandalia kisasi kwa mikono yake pindi tu atakapo staafu, ama akiendelea kwa akili hizi basi namtazama kama Rais atakae badilisha katiba ili asalie madarakani hata baada ya muhula wake kuisha.Huyu Rais naona anajichimbia kaburi mwenyewe
Huu si uungwana na sio njia ya kuiongoza nchi
Jirani acheni haya mambo, ni muda wa kusonga mbele kuliko kuishi na vinyongo rohoni na uadui
Hasira Hasara, mtauana bure kwani hata mstaafu ana watu wake pia
Kuwa mstaafu hakumuondolei haki ya kutoa maoni yake.
Upumbavu mlionao watanzania ndiyo mnataka na wakenya wauige.
Bure kabisa!
Dhehebu la hovyo coz linafundisha ubahili means selfishNdiyo maana Tanzania Mkristo thehebu la Protestant haruhusiwi kuwa rais. Sasa ninaona logic. Protestant is too religious hata kwa vitu vya kawaida na kaishasimamia jambo walau kwa hisia tu basi ni hapohapo
..... VP !!Sooner naiona Kenya ikizama kwenye machafuko.
Ruto alipaswa awaache wastaafu wapumzike, then alipaswa adhibiti anao dhania wanapewa nguvu na wastaafu.
Lakini pia naona Ruto akiiongoza Kenya na kufanya maamuzi kwa kuongozwa na hasira ama hisia. Badala yake alipaswa amuombe Mungu wake ampe hekima na busara ili aongoze nchi vyema.
Atakufa karibuni na yule mzee ambae hata baba yake alipania urais akaishi kuwa VPLakini pia naona Ruto akijiandalia kisasi kwa mikono yake pindi tu atakapo staafu, ama akiendelea kwa akili hizi basi namtazama kama Rais atakae badilisha katiba ili asalie madarakani hata baada ya muhula wake kuisha.
Mwisho kabisa namtabiria Ruto jambo baya kumtokea akiwa bado madarakani.
Watu wanaojifanya wana Mungu huku matendo yao hayahakisi wanachofungua midomo ni hatari sana.Badala yake alipaswa amuombe Mungu wake ampe hekima na busara ili aongoze nchi vyema.