Freightliner
JF-Expert Member
- Aug 22, 2013
- 720
- 528
Rais wa serikali ya wanafunzi chuo kikuu dodoma dogo John ambaye pia ni rais wa Tahliso apinduliwa rasmi leo kwa kushindwa kuwatetea wanafunzi anowangoza na mapinduzi hayo yamefanywa na wanafunzi na kumpa cheo hicho mh Mpandulume ambae kawatetea wanafunzi madai yao ya msingi mbele ya utawala mbovu wa UDOM