Nachukua nafasi hii kumsihii Raisi kuvunja baraza la Katiba. Kwa mtazamo Hamna katiba itayopatikana kwa jinsi lilivyotekwa Na misimamo ya vyama vya siasa Na mipasho badala ya hoja juu ya hoja. Gharama iliyotumika Na inayoendelea kutumika ni kubwa Na hamna taswira ya kupata katiba ya wananchi. Tunaoumia ni sisi walipa kodi watu wanaleta masihara.
Hayo ni mawazo yangu nawakilisha.
Hayo ni mawazo yangu nawakilisha.