Bakhresa hata awe na deni la billion 100 kamwe hawezi kufilisikaHiyo imenifanya nizidi kumheshimu huyo kiumbe
Ila haina noma ili mradi umetufikia tayarHahahaa
Huu uzi uligoma
Nilisha sahau hata kama niliuandika
Hahaaaa tupo pamojaFresh
Shukran kwa kuuona, bwana mkubwa.
Shukran na kwa kumrudisha mond pia
bado hatujashindwa na hatutoshindwa afe kipa,afe beki...ushindi wa kwetu!!!Hahaha
Trump ana fight had mwisho
Ila sisi Bashite tuu katushinda
Mtafute unipe marejeshoOMG!!
Candy kapotea kwel kwel ngoja nimsake
AhsanteDonald J Trump ni miongoni mwa binadamu wa kipekee sana kwa mtazamo wangu. Na kuna kitu anacho ambacho binadamu wengi hawana na kitu hicho ni moja wapo ya siri kubwa za mafanikio yake.
Mwaka huu Donald Trump kwa mujibu ya recent publication ya Forbes ameshuka kiutajiri toka nafasi ya 344 hadi nafasi 544 kidunia. Inasemekana kwa huu mwaka mmoja utajiri wake umepungua kwa at least $1biln.
Alafu hiyo namba tatu linahitaji marekebisho.
Ahsante
Nimerekebisha nashukuru.
Yes wana sema real estate bussiness kwa New York imeshuka so imebid wa punguze thamani yake.
Kitu gani different ambaco unezungumzia?