Elections 2010 Rais slaa huyoooooo

SLAA hawezi kuwa Rais wa nchi hii,kwa sababu muda (wakati) wa vyama vya upinzani kushika dola bado haujafika na hii ni kutokana na vyama hinyo kuwa na uchanga,ubinafsi ndani yake pamoja na dira butu.kutokana na matatizo hayo vinashindwa hata kuunganisha nguvu zao na kuweka mgombea mmoja wa urais.Si hivyo tu bali pia vimejikita sana maeneo ya mjini tu na kusahau maeneo ya vijijini.

Vyama vya upinzani kwa sasa vingejizatiti zaidi katika kuwania nafasi za ubunge na siyo urais kama Slaa na wenzake walivyoamua kufanya. Hivyo SLAA hawezi katika uchaguzi huu kushinda kiti cha urais.Utapoteza kura yako bure ,vyama vya upinzani bado havijajipanga vizuri,tuvipe muda zaidi ili viweze kujipanga.
Napenda sana watu waliochanganyikiwa kama wewe hawajui washauri nini waache nini.
 
Watu wengine bwana, huu ndo muda wa vyama vya upinzani kuonyesha kuwa vinaweza!! achilia mbali kupoteza urais, hii ni sera mbadala ambayo inatupa mwanya wa kuwa na mawazo na kuwafanya walio lewa madaraka kuepuka kupuuza mambo ya msingi.

Usitarajie mambo mazuri kama mtu anafanya anavyotaka! No way! mpaka kuwepo na pressure group kama hizi za upinzani ili wanaogombea wapate adabu, na kufanya yale wanayoahidi wananchi japo siyo kwa ufanisi mzuri lakini kidogo inasaidia ingawa katika zama hizi ni sawa na kurudi nyuma wakati wenzetu wanasonga mbele.

Nadhani kuna haja ya baadhi ya watu waeleweshwe nini maana ya upinzani, na faida zake ni zipi. Dr Slaa all the best, we have seen your contribution which includes 1) Ufisadi, sikuwahi kujua neno hilo wala kusikia kabla ya hizo skendo. 2) Matumizi mabovu ya fedha za umma. 3) Umetoamichango mingi Karatu kama mfano wa uwezo wa kuongoza. 4) Umetusaidia wafanyakazi kuongezwa mishahara, ingawa ni kama rushwa. 5) Umeelimisha, umeamsha, hamasisha watanzania kuwa nchi iko katika level gani ya kimaadili.

We need to defend these kind of people in our country na si kuwakatisha tamaa.
 
Jamaa Hajaelekea!
Huyu je kaelekea wapi

_41119806_kikwete203ap.jpg
 
SLAA hawezi kuwa Rais wa nchi hii,kwa sababu muda (wakati) wa vyama vya upinzani kushika dola bado haujafika na hii ni kutokana na vyama hinyo kuwa na uchanga,ubinafsi ndani yake pamoja na dira butu.kutokana na matatizo hayo vinashindwa hata kuunganisha nguvu zao na kuweka mgombea mmoja wa urais.Si hivyo tu bali pia vimejikita sana maeneo ya mjini tu na kusahau maeneo ya vijijini.

Vyama vya upinzani kwa sasa vingejizatiti zaidi katika kuwania nafasi za ubunge na siyo urais kama Slaa na wenzake walivyoamua kufanya. Hivyo SLAA hawezi katika uchaguzi huu kushinda kiti cha urais.Utapoteza kura yako bure ,vyama vya upinzani bado havijajipanga vizuri,tuvipe muda zaidi ili viweze kujipanga.
Hayo ni mawazo yako binafsi, hapiga kura ambao hawana si wanachama wa chama chochote wanauamuzi wa kumpigia kura nani, kwani vyama vyote vina migogoro ya ndani ispokuwa inatofautina viwanga hata CCM inamatatizo makubwa kwa kuwa wanashika dola mambo yanafukiwa na kuwa kwao madarakani
 
Dr Slaa anafaa kuwa Rais wa Tanzania,

Naona kachelewa kufanya maamuzi ya kugombea kwani nchi imefikishwa pabaya.

Naona mawakala wa mafisadi wanahangaika kupotosha jamii kuhusu uchaguzi mwaka huu. Tuwabana vyakutosha
 
Dr Slaa anafaa kuwa Rais wa Tanzania,

Naona kachelewa kufanya maamuzi ya kugombea kwani nchi imefikishwa pabaya.

Naona mawakala wa mafisadi wanahangaika kupotosha jamii kuhusu uchaguzi mwaka huu. Tuwabana vyakutosha
Waache wahangaike wao wamelipwa sisi tunajitolea bure kabisa tena kwa dhati kupambana nao. Unajua ni vigumu sana kuutetea uongo hata kama umelipwa ndiyo maana wanaishiwa mapema hoja.
 
Watanzania wenzangu, tukiiachia CCM iendelee kuwa madarakani kwa miaka mingine mitano tutajuta! Take my word! Tusitarajie jipya lolote kutoka kwa serikali inayolea mafisadi na isiyojali maslahi ya watu wake. Serikali ya CCM imekuwa ikituimbia nyimbo za 'maisha bora' na 'kasi zaidi' ili kutupumbaza tu. Ni kikundi kidogo sana cha watu kinachokula sehemu kubwa ya keki ya taifa bila kujali. Inabidi mtafakari na kuchukua hatua sasa kabla hatujachelewa. Hii ni fursa nzuri ya kujikomboa kutoka kwenye makucha ya udhalimu wa CCM.
 
attachment.php


Mbona SURA ya rahisi wenu inatisha hivyo? mwanagnu akimwona anaweza hasilale usiku doh!
 
Ukiona CCM na ubabe (+ujanja) wao wote wanaanza kutaka kuwabeba akina Lipumba ujue wameshikwa pabaya!
Na kwa kweli this time wameshikwa pabaya haswa. Watanzania tukituliza vichwa, trust me, Magogoni this time ataingia yule (WS) anayestahili.
 
SLAA hawezi kuwa Rais wa nchi hii,kwa sababu muda (wakati) wa vyama vya upinzani kushika dola bado haujafika na hii ni kutokana na vyama hinyo kuwa na uchanga,ubinafsi ndani yake pamoja na dira butu.kutokana na matatizo hayo vinashindwa hata kuunganisha nguvu zao na kuweka mgombea mmoja wa urais.Si hivyo tu bali pia vimejikita sana maeneo ya mjini tu na kusahau maeneo ya vijijini.

Vyama vya upinzani kwa sasa vingejizatiti zaidi katika kuwania nafasi za ubunge na siyo urais kama Slaa na wenzake walivyoamua kufanya. Hivyo SLAA hawezi katika uchaguzi huu kushinda kiti cha urais.Utapoteza kura yako bure ,vyama vya upinzani bado havijajipanga vizuri,tuvipe muda zaidi ili viweze kujipanga.

Hivi Nyerere alipochukua nchi aliokuwa na uzoefu gani vile?
 
attachment.php


Mbona SURA ya rahisi wenu inatisha hivyo? mwanagnu akimwona anaweza hasilale usiku doh!

Mkuu umeona sura ya Bilal? Bahati mbaya sina pic yake!!
Uzee umemkaa hadi kooni, bado tu anataka kuwa rahisi!!!
 
SLAA hawezi kuwa Rais wa nchi hii,kwa sababu muda (wakati) wa vyama vya upinzani kushika dola bado haujafika na hii ni kutokana na vyama hinyo kuwa na uchanga,ubinafsi ndani yake pamoja na dira butu.kutokana na matatizo hayo vinashindwa hata kuunganisha nguvu zao na kuweka mgombea mmoja wa urais.Si hivyo tu bali pia vimejikita sana maeneo ya mjini tu na kusahau maeneo ya vijijini.
Vyama vya upinzani kwa sasa vingejizatiti zaidi katika kuwania nafasi za ubunge na siyo urais kama Slaa na wenzake walivyoamua kufanya. Hivyo SLAA hawezi katika uchaguzi huu kushinda kiti cha urais.Utapoteza kura yako bure ,vyama vya upinzani bado havijajipanga vizuri,tuvipe muda zaidi ili viweze kujipanga.


Usituletee hadithi za manyani hapa, safari hii hakuna kesho, subiri tarehe 31 October 2010. halafu nenda huko vijijini watakuambia Rais wao nani 2010.
 
Hajaelekea wapi? Mgonjwa wenu ndo ameelekea?

Lakini ndo anaekufanya kuzungumza hivi na kufurahi kama hivyo, ndo anaeweza sema ufichwe na ukafichwa kweli, anaweza sema wakamatwe wana JF hata kama tupo pasipojulikana. Tujali utu, ukiona mtu anatukana ni dalili za kufilisika kichwani, msiwaharibie wagombea wenu, kama hamna cha kusema kukaa kimya ni bora kuliko kutukana. Tunaanaza pata picha hapa kuwa chadema chama cha wataalamu wa matusi na umbea. Kifanyeni chama kionekane cha kistaarabu, kwani ukitukana ndo mgombea wako atapata kura? Chadema badilisheni mwelekeo wa kumnadi mgombea wenu. Goodluck!!!!
 
Back
Top Bottom