Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Jamaa Hajaelekea!
Wewe uoni kuwa ajaelekea....?Hajaelekea wapi?
Achana naye huyo watu wa kijani hawaamini kuwa something is going to happen in Tanzania. Ila umeniwahi nilitaka iwe avatar yangu.Hajaelekea wapi?
Una uhakika na unacho kiongea?Achana naye huyo watu wa kijani hawaamini kuwa something is going to happen in Tanzania. Ila umeniwahi nilitaka iwe avatar yangu.
Wait 'n' SeeUna uhakika na unacho kiongea?
Siku ikifika usije lia na kusaga meno tu!Wait 'n' See
Siku ikifika usije lia na kusaga meno tu!
Hadithi za kupigania uhuru na uchaguzi huu ni vitu viwili tofauti, yaani kama mchana na usiku... Havifanani hata chembe, watu wanaota ndoto za Ali Nacha, yaani wanaota mchana kweupe... Kwa ufupi wanajifariji ili siku ziende.Kama tumeweza kusalimika katika kilio na kusaga meno chini ya utawala wa kifisadi sidhani kama hiyo siku ikifika kutakuwa na ugumu zaidi.
Tumezowea kusikia prophets of doom kwani hata wakati tunapigania uhuru kuna wenzetu waliotaka uhuru ucheleweshe "kurekebisha mambo flani".Same people seem to be united against seeing Dkt Slaa in Ikulu.Good news is hata usiku uwe mrefu namna gani kutakucha tu.
Kumekucha.......Tazama attachment
Jamaa Hajaelekea!
Ila umeniwahi nilitaka iwe avatar yangu.
Hata makaburu hawajaamini hadi leo kama siku ilishafika.Siku ikifika usije lia na kusaga meno tu!