Beesmom
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 37,395
- 92,040
Very painfulHiki ndiyo kilio chetu sote!
Very painfulHiki ndiyo kilio chetu sote!
Yoyote mkuuUnataka hao unaowaita wezi, wazisambaze hizo pesa za wizi kwa style ipi mkuu
Serikari Ina jukumu kurahisisha maisha kwa mtafutaji mwenye bidii, ikiwemo kuboresha huduma bora kwa Raia, Ili kumpa urahisi mpambanaji mwenye bidii kuona unafuu. Lakin serikari inaposhindwa kufanya hayo ndo tunaona maisha yanakua magumu kwa Raia. Hata yule mpambanaji nguvu zake zinazimwa kwa uovuwa serikari.Jukumu la kuishi maisha unayoyaita 'mazuri' sio la rais
Jukumu hili ni la kibinadamu ambalo wewe mwenyewe ndio unatakiwa uyafanye maisha yawe 'mazuri'
Mathalani, baadhi ya mbinu za kufanya maisha yako yawe mazuri ni pamoja na kufanya kazi kwa bidii, kuisimamia vizuri kazi au biashara au shughuli yako unayoifanya kwa ufasaha ili upate matokeo chanya na kujiongezea maarifa, stadi na ujuzi katika ulimwengu huu wa kibiashara na teknolojia
Hivyo tu yaan. Lakini ukitegemea eti dunia au serikali iyatengeneze maisha yako kuwa mazuri sio rahisi usikute hata wewe sio priority kwa serikali hii. Ishi humo
Nia uliyo nayo ya kushauri ni nzuri na sikupingi ila ni Kwa baadhi ya mambo,ila unajua kwanini Kuna serikali inayokusanya Kodi alafu umekieleewa alicho kilalamikia mtoa uzi maana vyote hivyo alivyo vitaja vipo ndani ya serikali inayochukua Kodi kutoka Kwa wananchi.Jukumu la kuishi maisha unayoyaita 'mazuri' sio la rais
Jukumu hili ni la kibinadamu ambalo wewe mwenyewe ndio unatakiwa uyafanye maisha yawe 'mazuri'
Mathalani, baadhi ya mbinu za kufanya maisha yako yawe mazuri ni pamoja na kufanya kazi kwa bidii, kuisimamia vizuri kazi au biashara au shughuli yako unayoifanya kwa ufasaha ili upate matokeo chanya na kujiongezea maarifa, stadi na ujuzi katika ulimwengu huu wa kibiashara na teknolojia
Hivyo tu yaan. Lakini ukitegemea eti dunia au serikali iyatengeneze maisha yako kuwa mazuri sio rahisi usikute hata wewe sio priority kwa serikali hii. Ishi humo
Kinyonge sana ila basi tuTatizo wanaiba pakubwa,pesa za kusambazia huduma zinapelea.Ibeni kidogo tu mtukumbuke na Sisi huku tunauhitaji.Mnatapanya Mali hovyo mkifa hawawaziki nazo zinaendelea kuchezewa hovyo Kabisa.Kuweni na huruma,Mwenyezi Mungu anapokupa hakupi ule peke yako wasambazieni na wengine.Mwenyezi Mungu awakumbushe hili.![]()
Ongeza na sukari bei juu!Ni mapema alfajiri nimeamka na kuanza kuyatafakari haya maisha tunayoishi. Najiuliza hadi lini serikali itajua ni wajibu wake kuhakikisha wananchi wake wanapata huduma zote muhimu kwa viwango vinavyostahili?
Serikali naona inachelewa sana kuwaletea wananchi maendeleo.
Leo hii watu maji majumbani hakuna,
Leo hii umeme siyo wa uhakika,
Leo hii miundombinu ya barabara mibovu,
Leo hii miji uchafu umetapakaa kila kona,
Leo hii shule zina uhaba wa madarasa, vitabu, walimu wenye ujuzi nk.
Tunakuomba Rais utusaidie nchi ikae sawa.
Tunakuombea afya njema wewe na familia yako ili na wewe uhakikishe na sisi tunaishi maisha mazuri.
Umefanya tathmini ya pato la taifa dhidi ya hayo uliyoandika? Au unadhani Rais ana kisima pale ikulu anachota pesa? Tuongeze kodi?Ni mapema alfajiri nimeamka na kuanza kuyatafakari haya maisha tunayoishi. Najiuliza hadi lini serikali itajua ni wajibu wake kuhakikisha wananchi wake wanapata huduma zote muhimu kwa viwango vinavyostahili?
Serikali naona inachelewa sana kuwaletea wananchi maendeleo.
Leo hii watu maji majumbani hakuna,
Leo hii umeme siyo wa uhakika,
Leo hii miundombinu ya barabara mibovu,
Leo hii miji uchafu umetapakaa kila kona,
Leo hii shule zina uhaba wa madarasa, vitabu, walimu wenye ujuzi nk.
Tunakuomba Rais utusaidie nchi ikae sawa.
Tunakuombea afya njema wewe na familia yako ili na wewe uhakikishe na sisi tunaishi maisha mazuri.
Mbona kama hili jina chiembe nataka kulifanisha na mtu mmoja serikali
Mbona kama hii comment na hili jina chiembe nalihusianisha na mtu serikalini?Umefanya tathmini ya pato la taifa dhidi ya hayo uliyoandika? Au unadhani Rais ana kisima pale ikulu anachota pesa? Tuongeze kodi?