Rais Samia yuko angani 24/7

Jinyonge
 
Basi na wew unaejuwa kuandika vzr andika Uzi wako Kaka
Shida iko wapi kaka
Uzi unakuwa wako, lakini unachangiwa na wengine..!! Sasa unapoandika, weka maneno kwa mpangilio sahihi ili wanaokomenti kwenye uzi huo wakomenti huku wakiwa wameelewa ulichodhamilia..!!
 
Uzi unakuwa wako, lakini unachangiwa na wengine..!! Sasa unapoandika, weka maneno kwa mpangilio sahihi ili wanaokomenti kwenye uzi huo wakomenti huku wakiwa wameelewa ulichodhamilia..!!
Sawa bos nimekusoma mkubwa wangu

Nioneshe sehemu za kurekebisha mkuu plz if don't mind
 
Halafu ni Dr eti dr namugari
Umakini wa kuandika tu ni haupo

Kama ni dr kweli basi ndio maana watu wanafanyiwa OP ya kichwa badala ya mguu
Sasa mm kero inatoka wapi kwako mban hata wew unaweza kujiandikia tu ili Hali siyo Dr walio niita Dr wanajuwa nafanya ni ktk nchi hi wala mm siyo Dr wa chochote kitu

Mm nimepewa udr na Wana kutoka na umahiri fln nilio nao wakt wengi hawama huo umahiri

Umahiri huo ni Siri yangu .

Sawa dada joanah acha kuumia kwa vitu vidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…