Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,423
- 9,962
Mwanzo naona alianza vizuri ila kadri siku zinavyoenda anaanza kuboronga sana.
Mama hayupo makini kuteua wasaidizi wake, either hana washauri au ni yeye tu hajui tena afanyaje.
Ukikosea Mara ya kwanza tunasema bahati mbaya, ukikosea mara ya pili jambo lile lile tunasema umeteleza ila ukikosea mara ya 3, mara ya 4 mara ya 5 ,hapo Kuna kitu hakipo sawa.
Kwenye teuzi hadi sasa ni kama mama kishapoteana, ni vile bado tuna machungu ya ubaya wa awamu iliyopita.
Uteuzi wa mkurugenzi wa TPDC ulikosea, ukatengua ndani ya saa 24, hakuwa na sifa ila ulipaswa ujue hili kabla hujafanya uteuzi.
Ukakosea uteuzi wa RAS wa Simiyu bi Azza, ukatengua ndani ya saa 24 baada ya kugundua hana sifa, Ila ulipaswa ujue kabla hujamteua.
Ukakosea uteuzi wa RC Kafulila, ukabadilisha hapohapo wakiwa wanaapishwa.
Leo tena vilevile, unateua mtu juzi, jana anaapishwa, leo unamteua nafasi nyingine alafu ile ya juzi ambayo ameapa jana unatengua.
Hii sio kawaida, ni kwamba umezidiwa. Wala usipate shida wa kukusaidia wapo na wamejipanga waachie nao waongoze.
Tunashukuru hauna maneno ya kukera ila kwenye uraisi bado hautoshi. Uraisi ni taasisi sasa iweje haya makosa ya aina moja yanajirudia kila siku. Hautoshi
Road to 2025
Mama hayupo makini kuteua wasaidizi wake, either hana washauri au ni yeye tu hajui tena afanyaje.
Ukikosea Mara ya kwanza tunasema bahati mbaya, ukikosea mara ya pili jambo lile lile tunasema umeteleza ila ukikosea mara ya 3, mara ya 4 mara ya 5 ,hapo Kuna kitu hakipo sawa.
Kwenye teuzi hadi sasa ni kama mama kishapoteana, ni vile bado tuna machungu ya ubaya wa awamu iliyopita.
Uteuzi wa mkurugenzi wa TPDC ulikosea, ukatengua ndani ya saa 24, hakuwa na sifa ila ulipaswa ujue hili kabla hujafanya uteuzi.
Ukakosea uteuzi wa RAS wa Simiyu bi Azza, ukatengua ndani ya saa 24 baada ya kugundua hana sifa, Ila ulipaswa ujue kabla hujamteua.
Ukakosea uteuzi wa RC Kafulila, ukabadilisha hapohapo wakiwa wanaapishwa.
Leo tena vilevile, unateua mtu juzi, jana anaapishwa, leo unamteua nafasi nyingine alafu ile ya juzi ambayo ameapa jana unatengua.
Hii sio kawaida, ni kwamba umezidiwa. Wala usipate shida wa kukusaidia wapo na wamejipanga waachie nao waongoze.
Tunashukuru hauna maneno ya kukera ila kwenye uraisi bado hautoshi. Uraisi ni taasisi sasa iweje haya makosa ya aina moja yanajirudia kila siku. Hautoshi
Road to 2025