Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,011
- 9,879
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa watanzania kupata chanjo ya CORONA kwa kuwa tiba ya maradhi hayo hugharimu taifa.
Pia amesema ukipata corona kupona au kufa ni hamsini kwa hamsini, na kuna uwezekano mkubwa wa mtu kufariki.
Ametoa wito kwa watanzania kupata chanjo ili kuepuka vifo.
Pia amesema ukipata corona kupona au kufa ni hamsini kwa hamsini, na kuna uwezekano mkubwa wa mtu kufariki.
Ametoa wito kwa watanzania kupata chanjo ili kuepuka vifo.