ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 15,774
- 35,994
Bwana Paul Chacha ni mkuu wa mkoa ambaye anamchafua mheshimiwa Rais Samia makusudi
Analeta ubabe wake wa Kikurya kwenye mambo ya football
Alitukana Yanga wana kiherehere na wanahonga wachezaji, ambazo hizo ni Tuhuma chafu sana alitaka ajibiwe vipi?
Yaani aje kishabiki halafu kumjibu Yanga waogope cheo chake au v8 ya serikali, hiyo ni never
Viongozi kuwa na upande sio dhambi, mbona wapo na wanaheshika kuwa wapo aidha Simba au Yanga
Waziri Mkuu Casim Majaliwa huyu anajulikana ni Simba na Kwa mamlaka yake angeweza kuwa anawaweka kizuizini viongozi wa Yanga ila yupo vizuri, anapata heshima ya mashabiki wa Simba na Yanga na hajawahi kutoa kauli za kukejeli Yanga, na pia ni mlezi wa Namungo FC
Speaker wa Bunge Tulia Akson ni kiongozi mkuu wa mhimili wa Bunge lakini hakuwahi kuongelea vibaya Yanga japo ni Shabiki wa Simba kindakindaki, Huwa anawaalika Yanga bungeni, Kwa mamlaka yake angezuia Yanga wasifike hata Bungeni
Mh Ali Zungu naibu speaker huyu ni mbunge wa Ilala, zinapotoka Simba na Yanga zipo kwenye Jimbo lake ila hajawahi kutoa kauli ya kifedhuli dhidi ya Yanga na anaheshimika vizuri tu
Jakaya Kikwete, Rais Mstaafu Huyu ni Yanga lakini hajawahi kutoa kauli ya kipumbavu au maudhi Kwa Simba, kipindi chake Simba alitawala soccer la TANZANIA lakini hakuleta hujuma na kuibeba Yanga
Mwana FA, huyu ni naibu waziri wa michezo na m Wanachama wa Simba pamoja na yote hajawahi kutoa kauli ya kipumbavu dhidi ya Yanga na anaheshimika vyema
Albert Chalamila Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam huyu ni Yanga na timu zote zinatokea mkoa wake haijawahi kutoa kauli ya kipumbavu Kwa Simba, na wanasimba wanamheshimunpamoja na kujua kama yeye ni Yanga
Jerson Musigwa, karibu wa Wizara ya Michezo huyu ni Yanga ila anaheshimika na Simba Kwa kuwa ana busara
Tabora sio timu pekee ambayo Yanga amecheza
Yanga amecheza na Namungo Lindi,
Yanga amecheza na Fountain Gate Manyara
Yanga amecheza dhidi Singida Black Star Singada
Yanga amecheza na Coast union Tanga
Yanga amecheza na Kagere sugar Kagera
Yanga amechezana prison Mbeya
Yanga mecheza na Pamba Mwanza
Yanga amecheza na Mashujaa Kigoma
Mbona huku kote watendaji wa Yanga hawakugombana na wateule wa mheshimiwa Rais
Rais Samia tengua Chacha Tabora naamini una Stock ya watendaji wengine wenye hekima na busara
Analeta ubabe wake wa Kikurya kwenye mambo ya football
Alitukana Yanga wana kiherehere na wanahonga wachezaji, ambazo hizo ni Tuhuma chafu sana alitaka ajibiwe vipi?
Yaani aje kishabiki halafu kumjibu Yanga waogope cheo chake au v8 ya serikali, hiyo ni never
Viongozi kuwa na upande sio dhambi, mbona wapo na wanaheshika kuwa wapo aidha Simba au Yanga
Waziri Mkuu Casim Majaliwa huyu anajulikana ni Simba na Kwa mamlaka yake angeweza kuwa anawaweka kizuizini viongozi wa Yanga ila yupo vizuri, anapata heshima ya mashabiki wa Simba na Yanga na hajawahi kutoa kauli za kukejeli Yanga, na pia ni mlezi wa Namungo FC
Speaker wa Bunge Tulia Akson ni kiongozi mkuu wa mhimili wa Bunge lakini hakuwahi kuongelea vibaya Yanga japo ni Shabiki wa Simba kindakindaki, Huwa anawaalika Yanga bungeni, Kwa mamlaka yake angezuia Yanga wasifike hata Bungeni
Mh Ali Zungu naibu speaker huyu ni mbunge wa Ilala, zinapotoka Simba na Yanga zipo kwenye Jimbo lake ila hajawahi kutoa kauli ya kifedhuli dhidi ya Yanga na anaheshimika vizuri tu
Jakaya Kikwete, Rais Mstaafu Huyu ni Yanga lakini hajawahi kutoa kauli ya kipumbavu au maudhi Kwa Simba, kipindi chake Simba alitawala soccer la TANZANIA lakini hakuleta hujuma na kuibeba Yanga
Mwana FA, huyu ni naibu waziri wa michezo na m Wanachama wa Simba pamoja na yote hajawahi kutoa kauli ya kipumbavu dhidi ya Yanga na anaheshimika vyema
Albert Chalamila Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam huyu ni Yanga na timu zote zinatokea mkoa wake haijawahi kutoa kauli ya kipumbavu Kwa Simba, na wanasimba wanamheshimunpamoja na kujua kama yeye ni Yanga
Jerson Musigwa, karibu wa Wizara ya Michezo huyu ni Yanga ila anaheshimika na Simba Kwa kuwa ana busara
Tabora sio timu pekee ambayo Yanga amecheza
Yanga amecheza na Namungo Lindi,
Yanga amecheza na Fountain Gate Manyara
Yanga amecheza dhidi Singida Black Star Singada
Yanga amecheza na Coast union Tanga
Yanga amecheza na Kagere sugar Kagera
Yanga amechezana prison Mbeya
Yanga mecheza na Pamba Mwanza
Yanga amecheza na Mashujaa Kigoma
Mbona huku kote watendaji wa Yanga hawakugombana na wateule wa mheshimiwa Rais
Rais Samia tengua Chacha Tabora naamini una Stock ya watendaji wengine wenye hekima na busara