Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,011
- 9,876
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kuacha tabia ya kuwa kikwanzo kwa wafanyabiashara wa ndani na nje
Amesema kuna wafanya biashara huzungumza na TBS ambapo wamekuwa wakifunga biashara za wengine kwa kusema hazina viwango kitu ambacho huwa si kweli
Pia amezungumzia kuzuia baadhi ya bidhaa za nje kuingia nchini hali ambayo pia huwa ni kikwazo ktk ushirikiano
Amesema kuna wafanya biashara huzungumza na TBS ambapo wamekuwa wakifunga biashara za wengine kwa kusema hazina viwango kitu ambacho huwa si kweli
Pia amezungumzia kuzuia baadhi ya bidhaa za nje kuingia nchini hali ambayo pia huwa ni kikwazo ktk ushirikiano