AMANI NYAJIEGO
Member
- Apr 29, 2018
- 34
- 21
TANGAZO MUHIMU KWA WATUMISHI WOTE
Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino mnatangaziwa kwamba Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atazindua Zoezi la Sensa kitaifa tarehe 14 Septemba, 2021 katika Uwanja wa Jamhuri ~ Dodoma.
Watumishi wote Mnatakiwa kuhudhuria Uwanjani bila kukosa, kuanzia Saa 12 asubuhi.
Limetolewa na Utawala
Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino mnatangaziwa kwamba Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atazindua Zoezi la Sensa kitaifa tarehe 14 Septemba, 2021 katika Uwanja wa Jamhuri ~ Dodoma.
Watumishi wote Mnatakiwa kuhudhuria Uwanjani bila kukosa, kuanzia Saa 12 asubuhi.
Limetolewa na Utawala