GE2025 Rais Samia: Rushwa imepungua nchini

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Huyu kuna siku atasema yesu amesharudi
 
Anaongea na kujijibu mwenyewe maskini...
 
Wasaidizi wa rais hawamuambii ukweli.
Rushwa ndio kwanza imefikia kiwango cha juu zaidi tangu tupate uhuru.
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro alikaa masaa manne bila huduma pale Mawenzi Hosp kwasababu hakutoa chai.
Just imagine mkuu wa mkoa kwenye mkoa wake.
Angekuja Dar si angejuta kuzaliwa.
 
Rushwa imepunguaje? Wakati Abdul na wengine serikalini wanachukua fedha zetu. Haijawahi kupungua wewe mama. Tumeona unaendelea kukopa wala hakuna kinachofanyika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…