Rais Samia: Pesa hatuna, tunanyanyasika kwa mikopo

Rais Samia: Pesa hatuna, tunanyanyasika kwa mikopo

Bagamoyo

Platinum Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
31,986
Reaction score
36,824
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mheshimiwa Dr Samia Hassan amebainisha jambo hilo zito na pia kuelezea sababu za kumuondoa kigogo wa TRA

Kigogo aliyeondolewa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Alphayo Kidata alikuwa anafanya kazi huku akipigiwa kelele nyingi hivyo angeweza ku 'data' katika jukumu hilo zito la kukusanya kodi iii vyanzo vya ndani viweze kufadhili miradi mingi ya maendeleo ambayo kwa sasa inategemea mikopo na ufadhili wa nje ambao unatuweka ktk hali ya unyonge na kunyanyasika anafafanua mheshimiwa Rais Dr. Hassan ...

Kutokana na mbinyo mkubwa wa makelele unaoweza kusababisha Kamishna Mkuu wa TRA kushindwa kuwa na mazingira ya utulivu kutimiza majukumu yake, ameamua kumteua Yusuph Mwenda kuwa Kamishna Mkuu wa TRA ambaye ataingia ofisini bila makelele ya wadau hivyo kupata muda wa kukusanya kodi na mapato zaidi ya ndani ili kuweza kugharamia miradi mikubwa iliyopo sasa ....

Rais pia amebainisha kuwa wawekezaji wawili wamepewa magati bandarini Dar es Salaam na kusema kama mapato ya bandari yakisimamiwa na kukusanywa vizuri basi mapato hayo ya bandari ya Dar es Salaam yanaweza kuwa chanzo pekee kinachoweza kutosheleza kabisa bajeti ya uendeshaji nchi ya sasa.

Kitengo cha Usuluhishi wa Kodi sasa kimeondolewa kutoka wizara ya Fedha kwenda TRA ili kuondoa mkanganyiko wa wizara kugombana na TRA amesema mheshimiwa Rais . Samia Hassan kuhusu mabadiliko makubwa na mifumo ya ufuatiliaji wa makusanyo ya kodi na mapato aliouandaa kuhakikisha kodi inakusanywa bila kuangaliana usoni huyu anaitwa bint au bwana Suluhu kwa jina hivyo akwepe kodi n.k ..
 
Yaani pesa inakusanywa na mteule wako,halafu wewe bosi unasema KULENI KWA UREFU WA KAMBA ZENU,yaani huyu anajitahidi kukusanya,wewe unawasihi watakaokula teuzi na wenye vyeo mbalimbali wazile kulingana na mafungu yanavyokuja makwao,utaacha kulalamika kweli?
 
Kariakoo Kuna Siasa Nyingi

5 July 2024
🔴#Live: RAIS SAMIA - ''KARIAKOO KUNA SIASA - NILITUMA TIMU KISIRI - HAWAJUI WANAGOMEA NINI .....

1720200890868.png
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mheshimiwa Dr Samia Hassan amebainisha jambo hilo zito na pia kuelezea sababu za kumuondoa kigogo wa TRA


View: https://m.youtube.com/watch?v=NuRbhHnqWP0

Kigogo aliyeondolewa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Alphayo Kidata alikuwa anafanya kazi huku akipigiwa kelele nyingi hivyo angeweza ku 'data' katika jukumu hilo zito la kukusanya kodi iii vyanzo vya ndani viweze kufadhili miradi mingi ya maendeleo ambayo kwa sasa inategemea mikopo na ufadhili wa nje ambao unatuweka ktk hali ya unyonge na kunyanyasika anafafanua mheshimiwa Rais Dr. Hassan ...

Kutokana na mbinyo mkubwa wa makelele unaoweza kusababisha Kamishna Mkuu wa TRA kushindwa kuwa na mazingira ya utulivu kutimiza majukumu yake, ameamua kumteua Yusuph Mwenda kuwa Kamishna Mkuu wa TRA ambaye ataingia ofisini bila makelele ya wadau hivyo kupata muda wa kukusanya kodi na mapato zaidi ya ndani ili kuweza kugharamia miradi mikubwa iliyopo sasa ....

Kitengo cha Usuluhishi wa Kodi sasa kimeondolewa kutoka wizara ya Fedha kwenda TRA ili kuondoa mkanganyiko wa wizara kugombana na TRA amesema mheshimiwa Rais . Samia Hassan kuhusu mabadiliko makubwa na mifumo ya ufuatiliaji wa makusanyo ya kodi na mapato aliouandaa kuhakikisha kodi inakusanywa bila kuangaliana usoni huyu anaitwa bint au bwana Suluhu kwa jina hivyo akwepe kodi n.k ..

Mikopo yenyewe si ya kwao Zanzibar
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mheshimiwa Dr Samia Hassan amebainisha jambo hilo zito na pia kuelezea sababu za kumuondoa kigogo wa TRA


View: https://m.youtube.com/watch?v=NuRbhHnqWP0

Kigogo aliyeondolewa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Alphayo Kidata alikuwa anafanya kazi huku akipigiwa kelele nyingi hivyo angeweza ku 'data' katika jukumu hilo zito la kukusanya kodi iii vyanzo vya ndani viweze kufadhili miradi mingi ya maendeleo ambayo kwa sasa inategemea mikopo na ufadhili wa nje ambao unatuweka ktk hali ya unyonge na kunyanyasika anafafanua mheshimiwa Rais Dr. Hassan ...

Kutokana na mbinyo mkubwa wa makelele unaoweza kusababisha Kamishna Mkuu wa TRA kushindwa kuwa na mazingira ya utulivu kutimiza majukumu yake, ameamua kumteua Yusuph Mwenda kuwa Kamishna Mkuu wa TRA ambaye ataingia ofisini bila makelele ya wadau hivyo kupata muda wa kukusanya kodi na mapato zaidi ya ndani ili kuweza kugharamia miradi mikubwa iliyopo sasa ....

Kitengo cha Usuluhishi wa Kodi sasa kimeondolewa kutoka wizara ya Fedha kwenda TRA ili kuondoa mkanganyiko wa wizara kugombana na TRA amesema mheshimiwa Rais . Samia Hassan kuhusu mabadiliko makubwa na mifumo ya ufuatiliaji wa makusanyo ya kodi na mapato aliouandaa kuhakikisha kodi inakusanywa bila kuangaliana usoni huyu anaitwa bint au bwana Suluhu kwa jina hivyo akwepe kodi n.k ..

Pesa zinaishia mifukoni mwa watu halafu ananung'ujnika bila kuchukua hatua yeyote. Sijui tulimkosea nini Mungu dah
 
Tatizo la TRA ni wavivu katika ukusanyaji wa kodi wao wanaangaika na walewale waliowasajiri miaka miaka 10 iliyopita hawana habari kama walipakodi uongezeka kila siku ni kama ilivyoidadi ya watu katika eneo husika.
 
Tatizo la TRA ni wavivu katika ukusanyaji wa kodi wao wanaangaika na walewale waliowasajiri miaka miaka 10 iliyopita hawana habari kama walipakodi uongezeka kila siku ni kama ilivyoidadi ya watu katika eneo husika.
Hakuna ubuni ndani ya serikali kuna wizi pekee
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mheshimiwa Dr Samia Hassan amebainisha jambo hilo zito na pia kuelezea sababu za kumuondoa kigogo wa TRA


View: https://m.youtube.com/watch?v=NuRbhHnqWP0

Kigogo aliyeondolewa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Alphayo Kidata alikuwa anafanya kazi huku akipigiwa kelele nyingi hivyo angeweza ku 'data' katika jukumu hilo zito la kukusanya kodi iii vyanzo vya ndani viweze kufadhili miradi mingi ya maendeleo ambayo kwa sasa inategemea mikopo na ufadhili wa nje ambao unatuweka ktk hali ya unyonge na kunyanyasika anafafanua mheshimiwa Rais Dr. Hassan ...

Kutokana na mbinyo mkubwa wa makelele unaoweza kusababisha Kamishna Mkuu wa TRA kushindwa kuwa na mazingira ya utulivu kutimiza majukumu yake, ameamua kumteua Yusuph Mwenda kuwa Kamishna Mkuu wa TRA ambaye ataingia ofisini bila makelele ya wadau hivyo kupata muda wa kukusanya kodi na mapato zaidi ya ndani ili kuweza kugharamia miradi mikubwa iliyopo sasa ....

Kitengo cha Usuluhishi wa Kodi sasa kimeondolewa kutoka wizara ya Fedha kwenda TRA ili kuondoa mkanganyiko wa wizara kugombana na TRA amesema mheshimiwa Rais . Samia Hassan kuhusu mabadiliko makubwa na mifumo ya ufuatiliaji wa makusanyo ya kodi na mapato aliouandaa kuhakikisha kodi inakusanywa bila kuangaliana usoni huyu anaitwa bint au bwana Suluhu kwa jina hivyo akwepe kodi n.k ..

Awa ya 5 kulikuwa na serving na makusanyo mengi leo hii matumizi yanazid makusanyo
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mheshimiwa Dr Samia Hassan amebainisha jambo hilo zito na pia kuelezea sababu za kumuondoa kigogo wa TRA


View: https://m.youtube.com/watch?v=NuRbhHnqWP0

Kigogo aliyeondolewa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Alphayo Kidata alikuwa anafanya kazi huku akipigiwa kelele nyingi hivyo angeweza ku 'data' katika jukumu hilo zito la kukusanya kodi iii vyanzo vya ndani viweze kufadhili miradi mingi ya maendeleo ambayo kwa sasa inategemea mikopo na ufadhili wa nje ambao unatuweka ktk hali ya unyonge na kunyanyasika anafafanua mheshimiwa Rais Dr. Hassan ...

Kutokana na mbinyo mkubwa wa makelele unaoweza kusababisha Kamishna Mkuu wa TRA kushindwa kuwa na mazingira ya utulivu kutimiza majukumu yake, ameamua kumteua Yusuph Mwenda kuwa Kamishna Mkuu wa TRA ambaye ataingia ofisini bila makelele ya wadau hivyo kupata muda wa kukusanya kodi na mapato zaidi ya ndani ili kuweza kugharamia miradi mikubwa iliyopo sasa ....

Kitengo cha Usuluhishi wa Kodi sasa kimeondolewa kutoka wizara ya Fedha kwenda TRA ili kuondoa mkanganyiko wa wizara kugombana na TRA amesema mheshimiwa Rais . Samia Hassan kuhusu mabadiliko makubwa na mifumo ya ufuatiliaji wa makusanyo ya kodi na mapato aliouandaa kuhakikisha kodi inakusanywa bila kuangaliana usoni huyu anaitwa bint au bwana Suluhu kwa jina hivyo akwepe kodi n.k ..

Rais makini na anayejielewa na anayewapenda watu wake hawezi kusema tunanyanyasika wakati anajua serikali anayoongoza imejaa anasa tupu na wizi ambao yeye mwenyewe ameshindwa kuukabili.
 
Back
Top Bottom