Rais Samia: Nitasimama na wananchi

Anasimama na Wananchi gani? Wamachinga mambo hovyo, Bei vitu mtaani haikamatiki na tozo kila kona
 
Safi sana Mama Samia
anatuchezea akili,hatutaki maneno!!? ,Kama kweli mbona hatuoni vitendo vinavyoakisi kweli amesimama na wananchi,hizo ni nons........w........n.....seeeeeeee!! we need action to prove her commitment to us!!! and not just bla bla balaaa.
 
Chief H bhana, kila jambo Na kila tope anataka kuaminisha kuwa yamesababishwa Na mwanaChato
Na bado mtatiana sana vidole machoni MaCCM.
Ni unafiki mkubwa kuamini HAYAWANI Magufuli alikua kiongozi. Ni Muharibifu.
Magufuli kavuruga CCM, kavuruga nchi, na kaharibu kibisa mifumo ya mihimili.
Alaaniwe na kizazi chake chote.
 
Hapa nina shaka na weledi wa kiuongozi kwani nadhani ni jukumu la kurekebisha mabovu sio hii
 
Ukweli ni ukweli wala usitumie nguvu nyiiingi kuusema watu wanaelewa
Piga kazi watu waneemeke
 
Aiseee hii awamu nayo ipite tu tena Dj wetu mpenzi Dj sir God apeleke mbele tu had season ya 7 napo tuone
 
Mama hamjameelewa yaan kwenye k koo derby atasimama upande wa yanga
maji mgao
umeme mgao
tozo juu
sukari juu
mafuta juu
mafuta ya kula juu
gesi juu
hii ya sabuni kupanda bei ndo imenishangaza
@ ama kwel kazi iendelee*🤐🤕🥳
 
Siku kila kitu kikiparaganyika ndipo mtajua kwamba marehemu hasingiziwi...Endeleeni na usani wenu tu....
Nenda kalikumbatie kaburi huko Chato, acha kumsumbua Raisi wetu mpendwa Samia Suluhu Hassan
 
Anasimama na Wananchi gani? Wamachinga mambo hovyo, Bei vitu mtaani haikamatiki na tozo kila kona
Kwa iyo unataka watu wapange vitu hadi barabarani waachwe tu?

Unataka maendeleo alafu hutaki kulipa kodi?

Utakuwa mwehu wewe
 
Nadhani lile kundi la Majaliwa na agenda yao ya kuwania uraisi 2025 kama ilivyoripotiwa humu jukwaani Mama ameshaligundua na oparesheni ya kuliengua itaanza rasmi!!
 
Wananchi gani anaowaongelea mbona sisi hatumuelewi? Alafu aache janja zake za kujitetea kila kukicha bila kuchukua hatua zozote. Tushachoka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…