Rais Samia: Nimefanya Movie nyingine na Mwigizaji wa Kichina inaitwa "Kijiji Cha Milele" itatoka hivi karibuni

Samia kawa msanii!
Wewe wasema ila anaigiza filamu maalumu za kutangaza vivitio vya Utalii wa Tanzania Kwa faida ya Tanzania Hadi lengo la watalii mil.5 lifikiwe by 2025.

Alishasema siku nyingi tuu kwamba Royal tour nyingine nyingi tuu zinakuja,shida yenu nyie nyumbu wa Chadema ni nini hasa?
 
Wewe wasema ila anaigiza filamu maalumu za kutangaza vivitio vya Utalii wa Tanzania Kwa faida ya Tanzania Hadi lengo la watalii mil.5 lifikiwe by 2025.

Alishasema siku nyingi tuu kwamba Royal tour nyingine nyingi tuu zinakuja,shida yenu nyie nyumbu wa Chadema ni nini hasa?
Nadhani achukuliwe pia na kwenye tamthiliya ya Huba au Mama Kimbo. Naona amegundua uwezo wake upo wapi.... Safi sana ameanza jitambua.
 
Back
Top Bottom