Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 36,348
- 23,757
Ndugu zangu Watanzania,
Kwa hakika Rais Samia ni Mwamba Kwelikweli,Ni Chaguo La Mungu ,Ni Nuru Na Mwanga Wa Taifa. Ni Kiongozi Aliyefanyika Baraka kwa Maisha Ya Watanzania,Ni Neema Na Baraka Kwa Taifa Hili. maisha yake ni Baraka kwa watu wote.
Mama Samia Kwa Hakika atakumbukwa vizazi na vizazi. Mama yeye na Rais Wetu Mpendwa baada ya siku chache zilizopita kutoa na kumwaga maelfu ya ajira kwa vijana. Sasa Karejea tena kwa kishindo kikuu kwa kutoa kibali cha ajira zaidi ya 41,500 katika sekta mbalimbali.
Hali iliyowaripua vijana kwa shangwe ,nderemo na vifijo mitaani kote. Ikumbukwe ya ku wa miaka michache iliyopita Kabla yake vijana walikuwa wamejikatia tamaa kabisa ya kupata ajira serikalini. Lakini Mama huyu mwenye moyo wa upendo ,ukarimu na huruma amekuja kuwasha taa ya matumaini kwa vijana . Ambapo kila mwaka anatoa maelfu kwa maelfu ya ajira kwa vijana..
Hatua ambayo inakwenda kuongeza kipato kwa vijana ,kuondoa utegemezi wa kipato ,kuongeza mzunguko wa pesa ,kuinua maisha ya vijana . Ni hatua ambayo si tu ni furaha kwa vijana bali hata kwa wazazi waliohenyeka kwa jasho na Damu katika kusomesha vijana wao.
Leo Mama anaendelea kuonyesha namna anavyoguswa na Maisha ya watu, anaonyesha namna alivyo msikivu. Mama kasikiliza kilio cha vijana na kuamua kukijibu kwa vitendo. Kwa hakika Mama anapaswa kushukuriwa na kuuungwa mkono.
Ukimchukia Mama Mama yetu unakuwa na sababu zako binafsi za kijinga na chuki zako binafsi pamoja na ubaguzi tu. Ni Mama ambaye amegusa maisha ya kila mmoja wetu. Kwa hakika Rais Samia Ni Zawadi kwetu tunayopaswa kuitunza kwa wivu Mkubwa sana.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kwa hakika Rais Samia ni Mwamba Kwelikweli,Ni Chaguo La Mungu ,Ni Nuru Na Mwanga Wa Taifa. Ni Kiongozi Aliyefanyika Baraka kwa Maisha Ya Watanzania,Ni Neema Na Baraka Kwa Taifa Hili. maisha yake ni Baraka kwa watu wote.
Mama Samia Kwa Hakika atakumbukwa vizazi na vizazi. Mama yeye na Rais Wetu Mpendwa baada ya siku chache zilizopita kutoa na kumwaga maelfu ya ajira kwa vijana. Sasa Karejea tena kwa kishindo kikuu kwa kutoa kibali cha ajira zaidi ya 41,500 katika sekta mbalimbali.
Hali iliyowaripua vijana kwa shangwe ,nderemo na vifijo mitaani kote. Ikumbukwe ya ku wa miaka michache iliyopita Kabla yake vijana walikuwa wamejikatia tamaa kabisa ya kupata ajira serikalini. Lakini Mama huyu mwenye moyo wa upendo ,ukarimu na huruma amekuja kuwasha taa ya matumaini kwa vijana . Ambapo kila mwaka anatoa maelfu kwa maelfu ya ajira kwa vijana..
Hatua ambayo inakwenda kuongeza kipato kwa vijana ,kuondoa utegemezi wa kipato ,kuongeza mzunguko wa pesa ,kuinua maisha ya vijana . Ni hatua ambayo si tu ni furaha kwa vijana bali hata kwa wazazi waliohenyeka kwa jasho na Damu katika kusomesha vijana wao.
Leo Mama anaendelea kuonyesha namna anavyoguswa na Maisha ya watu, anaonyesha namna alivyo msikivu. Mama kasikiliza kilio cha vijana na kuamua kukijibu kwa vitendo. Kwa hakika Mama anapaswa kushukuriwa na kuuungwa mkono.
Ukimchukia Mama Mama yetu unakuwa na sababu zako binafsi za kijinga na chuki zako binafsi pamoja na ubaguzi tu. Ni Mama ambaye amegusa maisha ya kila mmoja wetu. Kwa hakika Rais Samia Ni Zawadi kwetu tunayopaswa kuitunza kwa wivu Mkubwa sana.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.