DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 31,699
- 81,711
Sema jiongeze uwe multi-purpose usitegemee one source of income huku uki-praise politicians kwa kutegemea Huruma ya Binadamu mwenzako that all.
Duuh yapo kazini na shetani yupo motoni
Nje ya mada rafikiMkiniita chawa ni poa tu maana anayenipandisha daraja Kwa Kaz ni yeye.....Kuna mtu atasema kupanda daraja ni haki yako....lakin atajisahau kuwa ndani ya haki hii Kuna bossdume alitubania balaa....
Ni hivi,siku ya wanawake tar 8/3...Jana hiyo....hotuba ya mama kama uliisikiliza vyema....anataka amani...nchi iwe na aman....anakuambia hivi Mbali na Russia & Ukraine kuamua kupigana lakini mwisho wa siku watatengeneza amani Kwa njia ya mazungumzo,maridhiano,amani huja Kwa kukaa na kuzungumza.Aisee,nimependa.
Maana anajua hata tukigombana tutakaoumia ni sisi digidigi.Nakupenda mama
Tulibaki siye tu home.....🤣🤣 Nyie zinatosha zile siku Tatu za maternity lv.mkazane kutupatia watoto Ili muwe mnapumzika hizo 3days🤒Nne ya mada rafikiView attachment 2542582
Hotuba moja watu washaanza kubadilika hadi inafika 2025 na Mbowe atamuombea kura Samia
Upo sahihi kabisa, mama anaupiga mwingi mnoMkiniita chawa ni poa tu maana anayenipandisha daraja Kwa Kaz ni yeye.....Kuna mtu atasema kupanda daraja ni haki yako....lakin atajisahau kuwa ndani ya haki hii Kuna bossdume alitubania balaa....
Ni hivi,siku ya wanawake tar 8/3...Jana hiyo....hotuba ya mama kama uliisikiliza vyema....anataka amani...nchi iwe na aman....anakuambia hivi Mbali na Russia & Ukraine kuamua kupigana lakini mwisho wa siku watatengeneza amani Kwa njia ya mazungumzo,maridhiano,amani huja Kwa kukaa na kuzungumza.Aisee,nimependa.
Maana anajua hata tukigombana tutakaoumia ni sisi digidigi.Nakupenda mama







