Ukraine na Urusi watapigana weeee....watauana wee lakini at the end ni maridhiano yatakayowafanya waache vita.
Tulichelewa sana kumpata Mama.
Kazi kwishaš¤£š¤£š¤£š¤£š¤
Ni maisha yetu and non of your business....Kuna watu hawana hata vigezo vya kukopesheka
Ni kweli kabisaa..it is non of my biznesNi maisha yetu and non of your business....Kuna watu hawana hata vigezo vya kukopesheka
Naanza kuyazingatia maneno ya mpwa yungu, unaongezewa elfu ishirini huku gharama za maisha zimepanda zaidi ya mara mbili kwa kila kitu na unajisifia hadharani.Mkiniita chawa ni poa tu maana anayenipandisha daraja Kwa Kaz ni yeye.....Kuna mtu atasema kupanda daraja ni haki yako....lakin atajisahau kuwa ndani ya haki hii Kuna bossdume alitubania balaa....
Ni hivi,siku ya wanawake tar 8/3...Jana hiyo....hotuba ya mama kama uliisikiliza vyema....anataka amani...nchi iwe na aman....anakuambia hivi Mbali na Russia & Ukraine kuamua kupigana lakini mwisho wa siku watatengeneza amani Kwa njia ya mazungumzo,maridhiano,amani huja Kwa kukaa na kuzungumza.Aisee,nimependa.
Maana anajua hata tukigombana tutakaoumia ni sisi digidigi.Nakupenda mama
maza anaupiga mwingi, ngoja tuoneBalaaš
Si sawa na kukosa kabisa.....Bora anaekuona kuliko asiyekuona kabisa.Afu kumshupalia mtu na Kaz yake ingali huna Cha kumoffer huo ni Uchawi wa waz MkuuNaanza kuyazingatia maneno ya mpwa yungu, unaongezewa elfu ishirini huku gharama za maisha zimepanda zaidi ya mara mbili kwa kila kitu na unajisifia hadharani.
Mpwa yungu atakuwa alimaanisha wewe,Si sawa na kukosa kabisa.....Bora anaekuona kuliko asiyekuona kabisa.Afu kumshupalia mtu na Kaz yake ingali huna Cha kumoffer huo ni Uchawi wa waz Mkuu
Ujue mikopo ina umiza sana usipokua makini nayo na inainua sana ukiwa na plan.That's it my bro....
Yeah,Kuna watu wanataka Kwa njia ya mkopo....Yaan ni mtu tu na matumizi yakeUjue mikopo ina umiza sana usipokua makini nayo na inainua sana ukiwa na plan.
Yf ni mwalimu pia.Alipoanza kazi nikampa kama mwaka hiv namu observe tu matumiz na maamuz yake juu ya pesa yake ya mshahara pasipo kumuingilia.
Mwisho wa siku nika concluse huyu kwa hiz pesa hatafika mahala ngoja nimtie akili.
Nikamshawishi akope mkopo na kwakwel huwa ananishukuru ingawa mwanzo ilikua full kununa hajazoea kukatwa katwa š
Tunaongelea mtu aliye pandishiwa mshahara 30000, gharama za maisha akapandishiwa mara mia ya alichoongezewa na akasifia kama were, labda waalimu mnamatatizo kwelNa asiyenacho kabisa asemeje? Ajiue Kwa sababu hana?
Sawa tuna matatizo na tumeridhika nayo coz wanaotudharau hawatusaidii kitu ivo tunawatazama tuTunaongelea mtu aliye pandishiwa mshahara 30000, gharama za maisha akapandishiwa mara mia ya alichoongezewa na akasifia kama were, labda waalimu mnamatatizo kwel