Rais Samia ni mtu kwelikweli

Rais Samia ni mtu kwelikweli

Ukraine na Urusi watapigana weeee....watauana wee lakini at the end ni maridhiano yatakayowafanya waache vita.

Tulichelewa sana kumpata Mama.

Hayo maneno iwe funzo dunia nzima, hata ngazi ya familia inatakiwa mnawahi kuongea ili mambo yasifike mbali kwa kuwadhalilisha na kuwaaibisha,
 
Screenshot_20230309-072505_Instagram Lite.jpg
 
Mkiniita chawa ni poa tu maana anayenipandisha daraja Kwa Kaz ni yeye.....Kuna mtu atasema kupanda daraja ni haki yako....lakin atajisahau kuwa ndani ya haki hii Kuna bossdume alitubania balaa....

Ni hivi,siku ya wanawake tar 8/3...Jana hiyo....hotuba ya mama kama uliisikiliza vyema....anataka amani...nchi iwe na aman....anakuambia hivi Mbali na Russia & Ukraine kuamua kupigana lakini mwisho wa siku watatengeneza amani Kwa njia ya mazungumzo,maridhiano,amani huja Kwa kukaa na kuzungumza.Aisee,nimependa.

Maana anajua hata tukigombana tutakaoumia ni sisi digidigi.Nakupenda mama
Naanza kuyazingatia maneno ya mpwa yungu, unaongezewa elfu ishirini huku gharama za maisha zimepanda zaidi ya mara mbili kwa kila kitu na unajisifia hadharani.
 
Naanza kuyazingatia maneno ya mpwa yungu, unaongezewa elfu ishirini huku gharama za maisha zimepanda zaidi ya mara mbili kwa kila kitu na unajisifia hadharani.
Si sawa na kukosa kabisa.....Bora anaekuona kuliko asiyekuona kabisa.Afu kumshupalia mtu na Kaz yake ingali huna Cha kumoffer huo ni Uchawi wa waz Mkuu
 
Si sawa na kukosa kabisa.....Bora anaekuona kuliko asiyekuona kabisa.Afu kumshupalia mtu na Kaz yake ingali huna Cha kumoffer huo ni Uchawi wa waz Mkuu
Mpwa yungu atakuwa alimaanisha wewe,
Hiyo nyongeza inafidia gharama za maisha zilivyo panda au hesabu ni baba mkwe!?
 
That's it my bro....
Ujue mikopo ina umiza sana usipokua makini nayo na inainua sana ukiwa na plan.

Yf ni mwalimu pia. Alipoanza kazi nikampa kama mwaka hiv namu observe tu matumiz na maamuz yake juu ya pesa yake ya mshahara pasipo kumuingilia.

Mwisho wa siku nika concluse huyu kwa hiz pesa hatafika mahala ngoja nimtie akili.

Nikamshawishi akope mkopo na kwakwel huwa ananishukuru ingawa mwanzo ilikua full kununa hajazoea kukatwa katwa šŸ˜‚
 
Ujue mikopo ina umiza sana usipokua makini nayo na inainua sana ukiwa na plan.
Yf ni mwalimu pia.Alipoanza kazi nikampa kama mwaka hiv namu observe tu matumiz na maamuz yake juu ya pesa yake ya mshahara pasipo kumuingilia.
Mwisho wa siku nika concluse huyu kwa hiz pesa hatafika mahala ngoja nimtie akili.
Nikamshawishi akope mkopo na kwakwel huwa ananishukuru ingawa mwanzo ilikua full kununa hajazoea kukatwa katwa šŸ˜‚
Yeah,Kuna watu wanataka Kwa njia ya mkopo....Yaan ni mtu tu na matumizi yake
 
Tunaongelea mtu aliye pandishiwa mshahara 30000, gharama za maisha akapandishiwa mara mia ya alichoongezewa na akasifia kama were, labda waalimu mnamatatizo kwel
Sawa tuna matatizo na tumeridhika nayo coz wanaotudharau hawatusaidii kitu ivo tunawatazama tu
 
Back
Top Bottom