Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 725
- 2,676
Taarab tuUkiona mtu anajisifu mwenyewe kwa ahisiyo amefanya tambua ni mjivuni kwa mujibu wa wahenga wetu.
Hali hiyo ndiyo inayojionyesha kwa Rais Samia.
Mda mwingi Rais Samia amekuwa akijiona na kujisifu peke yake eti amefanya hiki na kile na hapaswi kulaumiwa kwa lawama anazolaumiwa na wengi wa Watanzania.
Utamsikia mara nimefanya jema hili na lile ama nimeleta jambo fulani.
Kwa dalili hizo je Samia naye ni mjivuni na kwa nini anajisifia badala asubiri wengine wamsifie!?
Sawa chawa.Hivi kwani lazima upost kila kinachokuja akilini mwako? Unasema Hili na lile Sasa hili ni nini na lile ni nini
Don't be fool
Amefanya kazi kubwa kuijenga Zanzibar na kujaza wazanzibar na waislam kwenye system ya baraUkiona mtu anajisifu mwenyewe kwa ahisiyo amefanya tambua ni mjivuni kwa mujibu wa wahenga wetu.
Hali hiyo ndiyo inayojionyesha kwa Rais Samia.
Mda mwingi Rais Samia amekuwa akijiona na kujisifu peke yake eti amefanya hiki na kile na hapaswi kulaumiwa kwa lawama anazolaumiwa na wengi wa Watanzania.
Utamsikia mara nimefanya jema hili na lile ama nimeleta jambo fulani.
Kwa dalili hizo je Samia naye ni mjivuni na kwa nini anajisifia badala asubiri wengine wamsifie!?
Mama wa kiswahili huyoIla ninge kuwa mimi nilishapiga marufuku kusifiwa sifiwa kila mteule wangu nadhani ningeonekana mtu mwenye hekima sana kwa wa tz
100%Hakuna raisi hapo.
Akasema, "NITARUKA" wasiponisifu nitajisifu "MWENYEWE"....Ukiona mtu anajisifu mwenyewe kwa ahisiyo amefanya tambua ni mjivuni kwa mujibu wa wahenga wetu.
Hali hiyo ndiyo inayojionyesha kwa Rais Samia.
Mda mwingi Rais Samia amekuwa akijiona na kujisifu peke yake eti amefanya hiki na kile na hapaswi kulaumiwa kwa lawama anazolaumiwa na wengi wa Watanzania.
Utamsikia mara nimefanya jema hili na lile ama nimeleta jambo fulani.
Kwa dalili hizo je Samia naye ni mjivuni na kwa nini anajisifia badala asubiri wengine wamsifie!?
Ni mjivuni. Na wala ujivuni si tatizo.Ukiona mtu anajisifu mwenyewe kwa ahisiyo amefanya tambua ni mjivuni kwa mujibu wa wahenga wetu.
Hali hiyo ndiyo inayojionyesha kwa Rais Samia.
Mda mwingi Rais Samia amekuwa akijiona na kujisifu peke yake eti amefanya hiki na kile na hapaswi kulaumiwa kwa lawama anazolaumiwa na wengi wa Watanzania.
Utamsikia mara nimefanya jema hili na lile ama nimeleta jambo fulani.
Kwa dalili hizo je Samia naye ni mjivuni na kwa nini anajisifia badala asubiri wengine wamsifie!?
Vile vile "Wahenga wa Kisasa" wanasema, usiposifiwa, jisifie mwenyewe. Kwahiyo,Mama yetu yupo sahihi!Ukiona mtu anajisifu mwenyewe kwa ahisiyo amefanya tambua ni mjivuni kwa mujibu wa wahenga wetu.
Hali hiyo ndiyo inayojionyesha kwa Rais Samia.
Mda mwingi Rais Samia amekuwa akijiona na kujisifu peke yake eti amefanya hiki na kile na hapaswi kulaumiwa kwa lawama anazolaumiwa na wengi wa Watanzania.
Utamsikia mara nimefanya jema hili na lile ama nimeleta jambo fulani.
Kwa dalili hizo je Samia naye ni mjivuni na kwa nini anajisifia badala asubiri wengine wamsifie!?