Rais Samia, naomba ajira

Cultural Marxism is ruling the United States and its allies. China and Russia are two of few nations that are averse to Cultural Marxism. In these bases, the Russians were successful. Now Cultural Marxism is rolled out to the rest of the World, to unimaginable success, again.

 
Hii kazi haiombwi kama kuomba chumvi,
Una Elimu gani,umefanya nini mpaka sasa hv kwenye nyanja za usalama,hii kazi wanapewa watu waliopo kwenye kada za usalama,jeshini,polisi,kitendo Cha wewe kuiomba tu,umethibitisha kwamba hufai
Huyu jamaa siokama kweli anaomba kazi ila alikia anafikasha ujumbe
 
Tiss Wako bize kulinda legacy ya mwendazake
 
 
Baada ya kusoma makala mbili tatu za mkuu Habib Hanga ( The Bold) naona kichwa kimevimba unataka Ukurugenzi
 
Huu uzi uunganishwe na WA kula tunda kimasihara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…