Rais Samia, naomba ajira

Umeongea ukweli mkuu!! Kula like yangu!!
 
Ramli 😡
 
Tatizo moja tu kuna kawimbo katamu kanaitwa Mfumo unaweza ukawa na mawazo mazuri sana na bi mkubwa akakubaliana na wewe mia kwa mia, tatizo likaja kuwa mfumo utaubadilisha vipi?
 
Kuna mtu anaajiriwa na Experience kutoka Tumboni mwa mama yake mkuu?
ndio experience zenyewe hizo sasa. lazima uwe na background flani.
sasa ww kama ji fresh from school tutakuaminije?

soma historia za ma DG waloipita kwenye hizo nafasi. back ground zao kabla ya kuteuliwa kuwa wakuu wa idara zilikuwaje.

linganisha na zako. halaf tafakari
 
Mkuu hujaweka mawasiliano yako,,, tukitaka tukuite interview tutumie njia ipi..!!???

Thanks
 

Ungekuwa unajua ujasusi kweli ungeandika waraka wa nakala ngumu na kupeleka kunakohusika moja kwa moja. Kuna emails na posta. Unaandika humu ambako kila mtu anasoma wakiwepo hao wakenya unaowasengenya?
 
Si mmoja Wao Mkuu, ila 'ninawajibia' tu.
Mkuu nafuatiliaga sana mada zako
Za michezo(hasa za simba na yanga,siasa na mengineyo,nikagundua una kitu cha ziada na
Unajiamini, na mara nyingi unakuwa mbele ya habari.
Hata kama siyo mmoja wao naamini upo katika nafasi nzuri ya kuwashauri
 
Mkuu nafuatiliaga sana mada zako
Za michezo(hasa za simba na yanga,siasa na mengineyo,nikagundua una kitu cha ziada na
Unajiamini, na mara nyingi unakuwa mbele ya habari.
Hata kama siyo mmoja wao naamini upo katika nafasi nzuri ya kuwashauri
Hilo la Kushauri sawa, ila siyo Mwenzao.
 
Probably the word you are looking for is "subversion".

"KGB used 25% of time and other resources for spying and counter-intelligence. The remaining 75% was dedicated for subversion."
~ A KGB Defector
It had to do that to survive. Marx preached that, Communism can only advance against the bourgeoisie not by competing with it Economically, but through subversion and sabotage. Soviet Communism had no market forces and sophisticated super-structures to economically compete with capitalism.

By the way enlighten me. How was it possible for Leon Panetta who was never a CIA officer to be appointed as Executive Director of the CIA for almost 3 years ??? Commentators argue that he delivered beyond expectations. During his incumbency, USA (CIA) went berserk on Libya, Syria, Egypt and Yemen. He also pioneered the talks for Iran Nuclear Deal......

NB: FOOD FOR THOUGHT REGARDING ESPIONAGE
- General George Washington secretly asked the US Congress to pass a budget that would slash almost 12% of USA GDP and dedicate it to foreign espionage. This hefty espionage budget has never had an equal to date.......
 
Naunga mkono hoja
 
KGB subversion was a roaring success. In my humble opinion, it made the Russians win the Cold War, having subverted the United States and its Western allies beyond the Russians wildest imaginations.
 
Is that sarcasm or do you indeed subscribe to the notion? [Poe's Law]
Up until early 70's the Soviet Union was wining the Cold-War. Americans even believed that the only way forward was co-existence with the Soviets through Détente. The Mitrokhin Archives reveal that Soviet Union had already surpassed the Western Influence in places like Africa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…