Rais Samia Mteue Ubunge Prof. Mussa Assad Kisha mteue awe waziri wa Fedha na Mipango

Nape anafaa alafu naibu awe Liz1 ili nchi ifunguke wapigaji wafanye yao mzunguko wa pesa uwepo mtaani.
 
Huyu hafai. Hata Marope hakufaa kuwa kwenye cabinet. Na Nepa naye hawezi kuwa kwenye cabinet.
Watu wasioweza kumvumilia kiongozi mkuu wa nchi ni hatari sana.
Lakini pia kuteuliwa kwao kunaleta funzo baya hata kwa wengine. Kwamba unaweza ukatunisha misuli kwa viongozi wa juu wa nchi, na bado serikali ikakuona unafaa?
Ni sawa na mama kushabikia mtoto anayeoonyesha ukorofi wazi wazi kwa baba, hata kama wazazi wana ugomvi.
Mtu anayeweza kuonyesha unafiki na ukorofi wazi wazi kwa mkuu A wa nchi, bado anaweza akamgeuka mkuu B wa nchi.
Sio watu wa kuwaamini kwenye serikali.
Kwenye utumishi wa umma na uongozi wa umma hata kama boss ni kilaza, basi heshimu hicho kiti (cheo chake).
Watu wanaonyesha dharau ya wazi wazi kwa cheo katika public leadership hawafai hata milele kurudi kwenye public leadership position.
Aisee! Yaan wew ni kiazi..
 
Huyu hafai. Hata Marope hakufaa kuwa kwenye cabinet. Na Nepa naye hawezi kuwa kwenye cabinet.
Watu wasioweza kumvumilia kiongozi mkuu wa nchi ni hatari sana.
Lakini pia kuteuliwa kwao kunaleta funzo baya hata kwa wengine. Kwamba unaweza ukatunisha misuli kwa viongozi wa juu wa nchi, na bado serikali ikakuona unafaa?
Ni sawa na mama kushabikia mtoto anayeoonyesha ukorofi wazi wazi kwa baba, hata kama wazazi wana ugomvi.
Mtu anayeweza kuonyesha unafiki na ukorofi wazi wazi kwa mkuu A wa nchi, bado anaweza akamgeuka mkuu B wa nchi.
Sio watu wa kuwaamini kwenye serikali.
Kwenye utumishi wa umma na uongozi wa umma hata kama boss ni kilaza, basi heshimu hicho kiti (cheo chake).
Watu wanaonyesha dharau ya wazi wazi kwa cheo katika public leadership hawafai hata milele kurudi kwenye public leadership position.
Did you get a chance to see the inside of a classroom????
 
Nakusalimu kwa jina la Tanganyika +Zanzibar

Tunapoelekea kuumaliza mwaka 2021 uliojaa kila aina ya misuko suko na maumivu..na kuukaribisha mwaka 2022..ambapo tunaamini nakutarajia yaliyo heri katika nyanja mbalimbali za kiuchumi..kijamii..kiafya na kisiasa.

Hivyo basi naombi kwako kama rais na kiongozi wetu ambaye unatamani hii nchi ipate mafanikio makubwa katika nyaja zote.

Ombi langu kwako ni kukuomba kwa nafasi yako mteue Prof Assad aliyekua CAG kuwa mbunge na kisha ikikupendeza zaidi awe waziri wa Fedha na Mipango.

Kwa maana ni mtu kwanza msomi wa ngazi kubwa ya kielimu katika masuala ya uchumi na fedha..pili ni mzalendo mwenye weredi..tatu na mtu mwenye msimamo anayesimamia principle na miongozo ya kazi...pamoja na hayo ameonyesha uwezo mkubwa sana pindi alipokua CAG kwa kutekereza majukumu yake ipasavyo..hadi baadhi ya wahuni kuanza kuchukia na kumletea figisu.

Nakuomba sana ili ufanikiwe katika kauli mbiu ya kazi iendelee fanya kazi na wanataaluma wenye uwezo..achana na wanasiasa ambao wengi wao huwazia zaidi chaguzi zianazofuata hivyo hufanya mambo sio kwa maslahi ya taifa bali kwa maslahi yao ili waweze kushinda chaguzi za mbele yao.

Nihayo tu kwa leo..naamini wazee wa vetting mtamfikishia mama hili na kumsadia katika hili ili tuweze kusonga mbele kiuchumi na kimaendeleo.

#MaendeleoHayanaChama View attachment 2063951
Prof asad nilimchukia sana bila kuelewa ukweli wa mambo mara tu baada ya kuteuliwa aliomba ofisi yake ya cag irekebishwe apate sehemu ya kuswalia nikamuona ni mdini ila ni kutokujua kwangu badae nilimuelewa ni mcha Mungu sana. Nikampenda zaidi alipoimbua serikali ya jpm bila woga wowote juu ya upotevu wa 1.5 tr niseme ukweli prof asad nampenda mno na nakubaliana na mtoa mada ila kwabahati mbaya serikali zetu za african hazipendi watu au ya Asad.
 
Kasome katiba ya Jamhuri ya Muungano inshort ukishatumikia cheo cha CAG na ukastaafu hurusuwi tena kuwa mtumishi wa umma.

Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 2064053

Tatizo la WADANGANYIKA ni wasahaurifu na ni rahisi kudanganyika!! Ni huyu huyu ASSAD Akiwa Mwenyekiti wa AUDIT committee ya bodi ya NSSF ndio alihusika na uwekezaji wa kifisadi na mwenzie RAMADHAN DAU mpaka shirika kufirisika na wazee waliowekeza hela zao huko mpaka leo wanahangaika kwani shirika halina hela za kuwalipa na wengine wametangulia mbele ya haki bila kufaidi malimbikizo yao! Na bado mazuzu wengine kwa upofu wao wanamsifia Assad!
 
Nikampenda zaidi alipoimbua serikali ya jpm bila woga wowote juu ya upotevu wa 1.5 tr niseme ukweli prof asad nampenda mno na nakubaliana na mtoa mada ila kwabahati mbaya serikali zetu za african hazipendi watu au ya Asad.

Unakumbuka pale IKULU alipoulizwa na marehemu JPM juu ya upotevu wa hizo tri.1.5 alijibu nini? Angekuwa mkweli na jasiri asingeogopa kujibu tofauti na alivyoufyata mkia wake!! Sio muadilifu bali anawahadaa wajinga kuwa sio Jihadist!
 
Unakumbuka pale IKULU alipoulizwa na marehemu JPM juu ya upotevu wa hizo tri.1.5 alijibu nini? Angekuwa mkweli na jasiri asingeogopa kujibu tofauti na alivyoufyata mkia wake!! Sio muadilifu bali anawahadaa wajinga kuwa sio Jihadist!
Alitumia busara unless hujui nguvu ya rais anapokuhoji maswali ya papo kwa papo tena ikulu mbele ya kamera.
 
Alitumia busara unless hujui nguvu ya rais anapokuhoji maswali ya papo kwa papo tena ikulu mbele ya kamera.
Hakuna cha busara ni unafiki tu; huku unasema hiki na kule unaseme kingine!! Ukweli ni ukweli tu mahala popote. Unaona sasa anakosa credibility kwani haijulikani wapi atasema ukweli na wapi ataongopa!!
 
Alikuwa na hisia zake mchanganyiko dhidi regime ya hayati JPM.
Tatizo la WADANGANYIKA ni wasahaurifu na ni rahisi kudanganyika!! Ni huyu huyu ASSAD Akiwa Mwenyekiti wa AUDIT committee ya bodi ya NSSF ndio alihusika na uwekezaji wa kifisadi na mwenzie RAMADHAN DAU mpaka shirika kufirisika na wazee waliowekeza hela zao huko mpaka leo wanahangaika kwani shirika halina hela za kuwalipa na wengine wametangulia mbele ya haki bila kufaidi malimbikizo yao! Na bado mazuzu wengine kwa upofu wao wanamsifia Assad!
 
Nakusalimu kwa jina la Tanganyika +Zanzibar

Tunapoelekea kuumaliza mwaka 2021 uliojaa kila aina ya misuko suko na maumivu..na kuukaribisha mwaka 2022..ambapo tunaamini nakutarajia yaliyo heri katika nyanja mbalimbali za kiuchumi..kijamii..kiafya na kisiasa.

Hivyo basi naombi kwako kama rais na kiongozi wetu ambaye unatamani hii nchi ipate mafanikio makubwa katika nyaja zote.

Ombi langu kwako ni kukuomba kwa nafasi yako mteue Prof Assad aliyekua CAG kuwa mbunge na kisha ikikupendeza zaidi awe waziri wa Fedha na Mipango.

Kwa maana ni mtu kwanza msomi wa ngazi kubwa ya kielimu katika masuala ya uchumi na fedha..pili ni mzalendo mwenye weredi..tatu na mtu mwenye msimamo anayesimamia principle na miongozo ya kazi...pamoja na hayo ameonyesha uwezo mkubwa sana pindi alipokua CAG kwa kutekereza majukumu yake ipasavyo..hadi baadhi ya wahuni kuanza kuchukia na kumletea figisu.

Nakuomba sana ili ufanikiwe katika kauli mbiu ya kazi iendelee fanya kazi na wanataaluma wenye uwezo..achana na wanasiasa ambao wengi wao huwazia zaidi chaguzi zianazofuata hivyo hufanya mambo sio kwa maslahi ya taifa bali kwa maslahi yao ili waweze kushinda chaguzi za mbele yao.

Nihayo tu kwa leo..naamini wazee wa vetting mtamfikishia mama hili na kumsadia katika hili ili tuweze kusonga mbele kiuchumi na kimaendeleo.

#MaendeleoHayanaChama View attachment 2063951
Sheria hairuhusu CAG kuteuliwa ili kulinda uhuru wa ofisi ya CAG.
 
Back
Top Bottom