Rais Samia Mteue Ubunge Prof. Mussa Assad Kisha mteue awe waziri wa Fedha na Mipango

jiwe angavu

JF-Expert Member
Aug 28, 2015
19,092
35,901
Nakusalimu kwa jina la Tanganyika +Zanzibar

Tunapoelekea kuumaliza mwaka 2021 uliojaa kila aina ya misuko suko na maumivu..na kuukaribisha mwaka 2022..ambapo tunaamini nakutarajia yaliyo heri katika nyanja mbalimbali za kiuchumi..kijamii..kiafya na kisiasa.

Hivyo basi naombi kwako kama rais na kiongozi wetu ambaye unatamani hii nchi ipate mafanikio makubwa katika nyaja zote.

Ombi langu kwako ni kukuomba kwa nafasi yako mteue Prof Assad aliyekua CAG kuwa mbunge na kisha ikikupendeza zaidi awe waziri wa Fedha na Mipango.

Kwa maana ni mtu kwanza msomi wa ngazi kubwa ya kielimu katika masuala ya uchumi na fedha..pili ni mzalendo mwenye weredi..tatu na mtu mwenye msimamo anayesimamia principle na miongozo ya kazi...pamoja na hayo ameonyesha uwezo mkubwa sana pindi alipokua CAG kwa kutekereza majukumu yake ipasavyo..hadi baadhi ya wahuni kuanza kuchukia na kumletea figisu.

Nakuomba sana ili ufanikiwe katika kauli mbiu ya kazi iendelee fanya kazi na wanataaluma wenye uwezo..achana na wanasiasa ambao wengi wao huwazia zaidi chaguzi zianazofuata hivyo hufanya mambo sio kwa maslahi ya taifa bali kwa maslahi yao ili waweze kushinda chaguzi za mbele yao.

Nihayo tu kwa leo..naamini wazee wa vetting mtamfikishia mama hili na kumsadia katika hili ili tuweze kusonga mbele kiuchumi na kimaendeleo.

#MaendeleoHayanaChama
Screenshot_20211231-153203_Chrome.jpg
 
Nakusalimu kwa jina la Tanganyika +Zanzibar

Tunapoelekea kuumaliza mwaka 2021 uliojaa kila aina ya misuko suko na maumivu..na kuukaribisha mwaka 2022..ambapo tunaamini nakutarajia yaliyo heri katika nyanja mbalimbali za kiuchumi..kijamii..kiafya na kisiasa.

Hivyo basi naombi kwako kama rais na kiongozi wetu ambaye unatamani hii nchi ipate mafanikio makubwa katika nyaja zote.

Ombi langu kwako ni kukuomba kwa nafasi yako mteue Prof Assad aliyekua CAG kuwa mbunge na kisha ikikupendeza zaidi awe waziri wa Fedha na Mipango.

Kwa maana ni mtu kwanza msomi wa ngazi kubwa ya kielimu katika masuala ya uchumi na fedha..pili ni mzalendo mwenye weredi..tatu na mtu mwenye msimamo anayesimamia principle na miongozo ya kazi...pamoja na hayo ameonyesha uwezo mkubwa sana pindi alipokua CAG kwa kutekereza majukumu yake ipasavyo..hadi baadhi ya wahuni kuanza kuchukia na kumletea figisu.

Nakuomba sana ili ufanikiwe katika kauli mbiu ya kazi iendelee fanya kazi na wanataaluma wenye uwezo..achana na wanasiasa ambao wengi wao huwazia zaidi chaguzi zianazofuata hivyo hufanya mambo sio kwa maslahi ya taifa bali kwa maslahi yao ili waweze kushinda chaguzi za mbele yao.

Nihayo tu kwa leo..naamini wazee wa vetting mtamfikishia mama hili na kumsadia katika hili ili tuweze kusonga mbele kiuchumi na kimaendeleo.

#MaendeleoHayanaChama View attachment 2063951
Umenena kabisa sema mwigulu mpigaji yan akishusha Singida United daraja ataweza kukuza uchumi wa nchi kweli
 
Nakusalimu kwa jina la Tanganyika +Zanzibar

Tunapoelekea kuumaliza mwaka 2021 uliojaa kila aina ya misuko suko na maumivu..na kuukaribisha mwaka 2022..ambapo tunaamini nakutarajia yaliyo heri katika nyanja mbalimbali za kiuchumi..kijamii..kiafya na kisiasa.

Hivyo basi naombi kwako kama rais na kiongozi wetu ambaye unatamani hii nchi ipate mafanikio makubwa katika nyaja zote.

Ombi langu kwako ni kukuomba kwa nafasi yako mteue Prof Assad aliyekua CAG kuwa mbunge na kisha ikikupendeza zaidi awe waziri wa Fedha na Mipango.

Kwa maana ni mtu kwanza msomi wa ngazi kubwa ya kielimu katika masuala ya uchumi na fedha..pili ni mzalendo mwenye weredi..tatu na mtu mwenye msimamo anayesimamia principle na miongozo ya kazi...pamoja na hayo ameonyesha uwezo mkubwa sana pindi alipokua CAG kwa kutekereza majukumu yake ipasavyo..hadi baadhi ya wahuni kuanza kuchukia na kumletea figisu.

Nakuomba sana ili ufanikiwe katika kauli mbiu ya kazi iendelee fanya kazi na wanataaluma wenye uwezo..achana na wanasiasa ambao wengi wao huwazia zaidi chaguzi zianazofuata hivyo hufanya mambo sio kwa maslahi ya taifa bali kwa maslahi yao ili waweze kushinda chaguzi za mbele yao.

Nihayo tu kwa leo..naamini wazee wa vetting mtamfikishia mama hili na kumsadia katika hili ili tuweze kusonga mbele kiuchumi na kimaendeleo.

#MaendeleoHayanaChama View attachment 2063951
Kasome katiba ya Jamhuri ya Muungano inshort ukishatumikia cheo cha CAG na ukastaafu hurusuwi tena kuwa mtumishi wa umma.

Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 2064053
 
Mama akitaka kufanikiwa afanye kaz na watu wa calibre ya Prof Assad,chale kime, khamis kagasheki and the like !!! Aaachane na haya manyika eti mwigulu
Umenena kweli..hao wakina mwigu ni wachumia tumbo.

#MaendeleoHayanaChama
 
Nakusalimu kwa jina la Tanganyika +Zanzibar

Tunapoelekea kuumaliza mwaka 2021 uliojaa kila aina ya misuko suko na maumivu..na kuukaribisha mwaka 2022..ambapo tunaamini nakutarajia yaliyo heri katika nyanja mbalimbali za kiuchumi..kijamii..kiafya na kisiasa.

Hivyo basi naombi kwako kama rais na kiongozi wetu ambaye unatamani hii nchi ipate mafanikio makubwa katika nyaja zote.

Ombi langu kwako ni kukuomba kwa nafasi yako mteue Prof Assad aliyekua CAG kuwa mbunge na kisha ikikupendeza zaidi awe waziri wa Fedha na Mipango.

Kwa maana ni mtu kwanza msomi wa ngazi kubwa ya kielimu katika masuala ya uchumi na fedha..pili ni mzalendo mwenye weredi..tatu na mtu mwenye msimamo anayesimamia principle na miongozo ya kazi...pamoja na hayo ameonyesha uwezo mkubwa sana pindi alipokua CAG kwa kutekereza majukumu yake ipasavyo..hadi baadhi ya wahuni kuanza kuchukia na kumletea figisu.

Nakuomba sana ili ufanikiwe katika kauli mbiu ya kazi iendelee fanya kazi na wanataaluma wenye uwezo..achana na wanasiasa ambao wengi wao huwazia zaidi chaguzi zianazofuata hivyo hufanya mambo sio kwa maslahi ya taifa bali kwa maslahi yao ili waweze kushinda chaguzi za mbele yao.

Nihayo tu kwa leo..naamini wazee wa vetting mtamfikishia mama hili na kumsadia katika hili ili tuweze kusonga mbele kiuchumi na kimaendeleo.

#MaendeleoHayanaChama View attachment 2063951
Huyu hafai. Hata Marope hakufaa kuwa kwenye cabinet. Na Nepa naye hawezi kuwa kwenye cabinet.
Watu wasioweza kumvumilia kiongozi mkuu wa nchi ni hatari sana.
Lakini pia kuteuliwa kwao kunaleta funzo baya hata kwa wengine. Kwamba unaweza ukatunisha misuli kwa viongozi wa juu wa nchi, na bado serikali ikakuona unafaa?
Ni sawa na mama kushabikia mtoto anayeoonyesha ukorofi wazi wazi kwa baba, hata kama wazazi wana ugomvi.
Mtu anayeweza kuonyesha unafiki na ukorofi wazi wazi kwa mkuu A wa nchi, bado anaweza akamgeuka mkuu B wa nchi.
Sio watu wa kuwaamini kwenye serikali.
Kwenye utumishi wa umma na uongozi wa umma hata kama boss ni kilaza, basi heshimu hicho kiti (cheo chake).
Watu wanaonyesha dharau ya wazi wazi kwa cheo katika public leadership hawafai hata milele kurudi kwenye public leadership position.
 
Huyu hafai. Hata Marope hakufaa kuwa kwenye cabinet. Na Nepa naye hawezi kuwa kwenye cabinet.
Watu wasioweza kumvumilia kiongozi mkuu wa nchi ni hatari sana.
Lakini pia kuteuliwa kwao kunaleta funzo baya hata kwa wengine. Kwamba unaweza ukatunisha misuli kwa viongozi wa juu wa nchi, na bado serikali ikakuona unafaa?
Ni sawa na mama kushabikia mtoto anayeoonyesha ukorofi wazi wazi kwa baba, hata kama wazazi wana ugomvi.
Mtu anayeweza kuonyesha unafiki na ukorofi wazi wazi kwa mkuu A wa nchi, bado anaweza akamgeuka mkuu B wa nchi.
Sio watu wa kuwaamini kwenye serikali.
Kwenye utumishi wa umma na uongozi wa umma hata kama boss ni kilaza, basi heshimu hicho kiti (cheo chake).
Watu wanaonyesha dharau ya wazi wazi kwa cheo katika public leadership hawafai hata milele kurudi kwenye public leadership position.
Shida ya akili za waafrika wanaamini Rais ninkama malaika au Mungu huwa hakosei na wala akikosea haruhusiwi kuambiwa ukweli
 
Back
Top Bottom