jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 19,092
- 35,901
Nakusalimu kwa jina la Tanganyika +Zanzibar
Tunapoelekea kuumaliza mwaka 2021 uliojaa kila aina ya misuko suko na maumivu..na kuukaribisha mwaka 2022..ambapo tunaamini nakutarajia yaliyo heri katika nyanja mbalimbali za kiuchumi..kijamii..kiafya na kisiasa.
Hivyo basi naombi kwako kama rais na kiongozi wetu ambaye unatamani hii nchi ipate mafanikio makubwa katika nyaja zote.
Ombi langu kwako ni kukuomba kwa nafasi yako mteue Prof Assad aliyekua CAG kuwa mbunge na kisha ikikupendeza zaidi awe waziri wa Fedha na Mipango.
Kwa maana ni mtu kwanza msomi wa ngazi kubwa ya kielimu katika masuala ya uchumi na fedha..pili ni mzalendo mwenye weredi..tatu na mtu mwenye msimamo anayesimamia principle na miongozo ya kazi...pamoja na hayo ameonyesha uwezo mkubwa sana pindi alipokua CAG kwa kutekereza majukumu yake ipasavyo..hadi baadhi ya wahuni kuanza kuchukia na kumletea figisu.
Nakuomba sana ili ufanikiwe katika kauli mbiu ya kazi iendelee fanya kazi na wanataaluma wenye uwezo..achana na wanasiasa ambao wengi wao huwazia zaidi chaguzi zianazofuata hivyo hufanya mambo sio kwa maslahi ya taifa bali kwa maslahi yao ili waweze kushinda chaguzi za mbele yao.
Nihayo tu kwa leo..naamini wazee wa vetting mtamfikishia mama hili na kumsadia katika hili ili tuweze kusonga mbele kiuchumi na kimaendeleo.
#MaendeleoHayanaChama
Tunapoelekea kuumaliza mwaka 2021 uliojaa kila aina ya misuko suko na maumivu..na kuukaribisha mwaka 2022..ambapo tunaamini nakutarajia yaliyo heri katika nyanja mbalimbali za kiuchumi..kijamii..kiafya na kisiasa.
Hivyo basi naombi kwako kama rais na kiongozi wetu ambaye unatamani hii nchi ipate mafanikio makubwa katika nyaja zote.
Ombi langu kwako ni kukuomba kwa nafasi yako mteue Prof Assad aliyekua CAG kuwa mbunge na kisha ikikupendeza zaidi awe waziri wa Fedha na Mipango.
Kwa maana ni mtu kwanza msomi wa ngazi kubwa ya kielimu katika masuala ya uchumi na fedha..pili ni mzalendo mwenye weredi..tatu na mtu mwenye msimamo anayesimamia principle na miongozo ya kazi...pamoja na hayo ameonyesha uwezo mkubwa sana pindi alipokua CAG kwa kutekereza majukumu yake ipasavyo..hadi baadhi ya wahuni kuanza kuchukia na kumletea figisu.
Nakuomba sana ili ufanikiwe katika kauli mbiu ya kazi iendelee fanya kazi na wanataaluma wenye uwezo..achana na wanasiasa ambao wengi wao huwazia zaidi chaguzi zianazofuata hivyo hufanya mambo sio kwa maslahi ya taifa bali kwa maslahi yao ili waweze kushinda chaguzi za mbele yao.
Nihayo tu kwa leo..naamini wazee wa vetting mtamfikishia mama hili na kumsadia katika hili ili tuweze kusonga mbele kiuchumi na kimaendeleo.
#MaendeleoHayanaChama